change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 729
- 1,559
Ni ujinga wa kiwango cha juu kwa sasa kuendelea kuwaamini hawa wazungu wanaozunguka zunguka uku Africa ni matapeli tu, majobles wa ulaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlijipa nguvu sana mlipowafunga waithiopia na yanga kufungwa na viperswe uliyaona?
hatujamaliza hatujamaliza mlete mdhunguu mlete mdhunguu uyo apo mdhunguu[emoji1787][emoji1787] unateseka ukiwa pande ganiYanga kwa Al hilal hatoboi, kwa game ya leo, hatoboi.
Huku kwetu atatukalisha sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MLETHE MDHUNGU, MLETHE MDHUNGU, MLETHE MDHUNGUUUUU.... [emoji847]Yanga kwa Al hilal hatoboi, kwa game ya leo, hatoboi.
Huku kwetu atatukalisha sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] AlooYanga kwa Al hilal hatoboi, kwa game ya leo, hatoboi.
Huku kwetu atatukalisha sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikiwa Avic Town hostel block D.hatujamaliza hatujamaliza mlete mdhunguu mlete mdhunguu uyo apo mdhunguu[emoji1787][emoji1787] unateseka ukiwa pande gani
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁😁🤸🏿🤸🏿🤸🏿Yanga kwa Al hilal hatoboi, kwa game ya leo, hatoboi.
Huku kwetu atatukalisha sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tulia we topoloWewe ushazoea humu kuandika propaganda za kijinga na mwisho wa siku unakua disappointed Kama hivi.
Mwenzako OKW BOBAN SUNZU kashaandika propaganda nyingi mpaka kachoka sasa..[emoji16]
Ni vyema ujifunze kwanza football na misingi yake,mpira hauchwezi mdomoni..
Nileteeni MthunguuuuuuuuTulia we topolo
Tuliyaona na tukayasemaSimba day hamkuyaona hayo au?
Phiri aliingia game ya St. George na alizingua tu, acha ushabiki maandazi, hamna timu pale. Simba mmesajili kwa mhemko sana.Nishaanza kuogopa kimataifa it seems like kocha hampendi Moses Phiri wala chama...na hata hajui jinsi ya kuwatumia okrah, chama, sakho,okwa kwa pamoja ndiyo maana matola kama kujifanya fala kwenye benchi halafu bado watu wanamlaumu, kapombe naye eti ni sub ya mwenda
Sasa ichomoe taratibu isije ikakuumiza.Tulia we topolo