Nimenyoosha mikono juu

Nimenyoosha mikono juu

Bi dentamol

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
1,018
Reaction score
2,130
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma natamani kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O nina mtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumban
Moyo unauma sana mpaka sitaman hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke..
Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu misha yakaendelea
Nyanyuka usinyong'onyee tafadhali
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumban
Moyo unauma sana mpaka sitaman hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke..
Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu misha yakaendelea
Lady in action, which action you mean? Sorry i can't feel the same way as you!
 
Najitahidi lkn
Sio kujitahidi, jilazimishe na uweze. Usipoangalia utakonda na kufubaa hata magonjwa yatakuandama, na huyo uliyeondoka kwake atafurahia kukuona umepigika. Ishi ukipanga mambo unayoyaka yaende vizuri, hakuna wa kukusaidia zaidi ya wewe mwenyewe.

Ila sitashangaa baada ya mwezi ukituambia umerudi kwa hubby🤣
 
Wanawake JF mshikeni mkono mwenzenu huyu anahitaji faraja, uangalizi wa karibu, kuoneshwa upendo wa hali ya juu, kujaliwa.

Nimepitia nyuzi zake hayuko sawa.. Hawa ndio watu hawachelewi kuchukua uamuzi mgumu(Mungu amuepushie mbali ujinga huo)
 
Sio kujitahidi, jilazimishe na uweze. Usipoangalia utakonda na kufubaa hata magonjwa yatakuandama, na huyo uliyeondoka kwake atafurahia kukuona umepigika. Ishi ukipanga mambo unayoyaka yaende vzr, hakuna wa kukusaidia zaidi ya wewe mwenyewe.
Ila sitashangaa baada ya mwezi ukituambia umerudi kwa hubby🤣
Hajanifukuza lkn je ndio nitaubadilisha moyo wake? Je hata nikirudi nitadumu kwa muda gani sababu anachofanya hata yeye haelewi ni vile hanipendi ndio anajikuta
 
Wanawake JF mshikeni mkono mwenzenu huyu anahitaji faraja, uangalizi wa karibu, kuoneshwa upendo wa hali ya juu, kujaliwa.

Nimepitia nyuzi zake hayuko sawa.
Hawa ndio watu hawachelewi kuchukua uamuzi mgumu(mungu amuepushie mbali ujinga huo)
Siwezi nina watoto 2
1) Miaka 7 baba yake alishafariki
2) Ana mwaka 1 wote wananitegemea siwezi fanya chochote kibaya Mungu anisaidie
 
Back
Top Bottom