Siwezi ninawatoto 2
1) miaka 7 baba yake alishafariki
2) ana mwaka 1 wote wananitegemea siwezi fanya chochote kibaya Mungu anisaidie
WAKUU ndg dudumizi na wengine
Nina scenerio tatu hivi wadada wa aina hii. Acheni kubeza. Dada Mmoja tulipiga nae xul miaka hiyooo. Nimetumia lugha hiyo Kwa maana.
Nakumbuka alinisumbua sana wkt nadate nae. Wkt tumemaliza madarasa yote tukaonana tukiwa waajiriwa, tukaonana sehemu akanipa mbususu nikala. Kwa Sasa namkimbia, Ingawa anakazi yake na usafiri safi. Lkn ndani huko chumbani na mshua hakufai. Niliacha kula tunda Kwa sabb nyingi tu. Maana ningeanza kula kavu na maradhi.
Wa pili.. ana mtoto mkubwa tu na anaganyakazi, mtoto wa 23 binti...mama ake ana noma na mumewe wa Sasa Kwa sababu ya mtoto wa kakufikia. Nikimaanisha baba Watoto mwingine alishateleza(hapahapa mwanza). Huyu kiumbe nikikutana naye Akiwa mwenye mawazo, kibaya zaidi msua anampiga Sana. Baada ya kukaa naye kidogo akapenda nilivyompa courageous...akanipa tunda....
Na analia sikujua sababu baadae, swali Kwa nini unalia....akasema ameinjoi na anashukuru nilivyomfanyia...nikamkimbia....
Wa tatu..mshua anaporudi usiku, taa ikiwa imezimwa, akifika kitandani anapapasa tu, akimgusa MTU, anatafuta miguu ilipo, na katikati tundani,akipagusa, anatoa zipu na kuweka shoka, akishachanja anasepa huyoo....
Hivi vitu vinawa disappoint Sana wenzao. Huyu wa Leo ni mmoja ila ni wengi Sana mtaani.
Tatizo nikikutana nao wanataka wenyewe.
Ndio maana nakushauri potea, fanya shughul yako upate chakula Cha wanao. Epuka kuonewa huruma. Fanya yako peke yako