Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana nikawa nimeumbwa na matatizo sielewi namimjUkifuatilia nyuzi za huyu dada utagundua kua plug zake hazichomi vizuri kichwani
Wewe umejuaje kama anachofanya hakielewi? Anafanya makusudi na hakuna ambacho hakielewi, na anajua huchomoi kwake na utarudi tu. Na kama hajielewi basi muombee kwa imani yako abadiloke. Ila kukaa unalialia haitakusaidia bali itazidi kukunyong'onyeza.Haujanifukuza lkn je ndio nitaubadilisha moyo wake? je hata nikirudi nitadum kwa muda gan sababu anachofanya hata yeye haelewi ni vile hanipendi ndio anajikuta Achana na moyo wake haukuhusu jali moyo wako.
Plug[emoji23][emoji23]Ukifuatilia nyuzi za huyu dada utagundua kua plug zake hazichomi vizuri kichwani
Unamaanisha Watoto sio wake.Siwezi ninawatoto 2
1) miaka 7 baba yake alishafariki
2) ana mwaka 1 wote wananitegemea siwezi fanya chochote kibaya Mungu anisaidie
Huyu dada ni kimeoDada kwanza pole Sana kwa mazito yaliyokufika n mapito tu hili nalo litapita Kama mengine tu
Sasa dada nimefuatilia nyuzi zako huko nyuma inaonekana mwanzon ulikuwa na mahusiano na mtu mwingne na mkafanikiwa kupata mtoto wenu kwa mujibu wako yupo std 3 kisha mkaachana japo s kwa Aman baadae ukapata mtu mwingne mmeishi pamoja mkapata mtoto Leo mmeachana Tena sasa huoni Kama Kuna shida mahali dada yangu?
Kila mtoto na baba yake na bado n binti wewe unaweza ukapata mtu mwingne akakuzalisha Tena sidhan Kama mtu akuoe asitake mtoto na yeye
USHAURI wangu hebu jifanyie tathmin kwanza wewe mwenyewe kabla ya kuwanyoshea vidole hao wanaume uliopata zaa nao na mkaishi pamoja
Huko nyuma katika wako mmoja ulipata kuyasema haya kuwa mzazi mwenzako anamawasiliano na wewe. Ambayo hukuyapenda kwann hukumblock mapema kuepusha matatizo unadhan mwanamme ambaye unaishi naye angefurahia hayo mawasiliano wakat yeye ndye anayetoa huduma? Usimuone Kama ndez hyo mwanaume wa mwisho uloyeoshi nae lazma alikuwa anafuatilia nyendo zako
JITATHMIN
Mmoja ndio wake huyu mdogo,,, wa kwanza baba yake kafariki ana mwez 1 sasaUnamaanisha Watoto sio wake.
Kama sio wakwake umeamua vema kuondoka. Lkn sijaelewa umeacha vipi nyumba na vitu vyako. Ni haki yako kuchukua chako
Usipoliwa kimasihara kutokana na huu Uzi wako...njoo kwangu utanikuta nimekaa pale.Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.
Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Kimeo hikiUkifuatilia nyuzi za huyu dada utagundua kua plug zake hazichomi vizuri kichwani
Nyuzi zako nyingi hapa ni matatizo ya ndoa yako, nikuulize kwanza una Umri Gani na Mumeo ana umri upi then nikushauriBaada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.
Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Mi 34 mume 36Nyuzi zako nyingi hapa ni matatizo ya ndoa yako, nikuulize kwanza una Umri Gani na Mumeo ana umri upi then nikushauri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kimeo hiki
Ulambe untang'une mwana wa vene?
Daaaaah nikajua Bado ni vijana mnakula ujana kumbe ni wazee kabisaMi 34 mume 36
Mkuu umenifanya nicheke sehemu ambayo watu wamekaa wana huzuni. Lady in action atakua na file MirembeUkifuatilia nyuzi za huyu dada utagundua kua plug zake hazichomi vizuri kichwani