Nimenyoosha mikono juu

Kunyooshwa kupo tu, hata huyo unaemuhisi ni mtu sahihi anaweza kuja kukubadilikia na usiamini.
 
Nasikia ukiondoka mwenyewe haupati kitu mpaka awe amekufukuza
Kwa nini unajipa majibu mwenyewe badala ya kusikiliza sheria inasemaje? Hakuna mtu anayejiondoa Mahal bila sababu! Nenda mahakamani upate haki yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…