Mnaanzaga mahusiano na wajinga wajinga mkinyooshwa mnaanza kulia lia.
Wanawake kama ninyi unakuta kuna kijana alikupenda kwa dhati ila ulimchukulia poa kwa kua hana kitu ukaenda kwa mwingine,sasa umenyooshwa
Pole sana mrembo,sali sana umtumikie Mungu tu sasa !…...