Nimenyoosha mikono juu

Nimenyoosha mikono juu

huyu dada nimefatilia nyuzi zake nimeona ana bahati mbaya kweny mahusiano yake yote,ameteseka miaka mingi kweny hayo mahusiano yake,,ko mnaomkejeli acheni mala moja wala msimshauri arudi kwa mmewe,,mwacheni apumnzike atulize akili.

mi namshauri atafute tu mwanaume wa kumtoa nyege asirudi kwa mmewe.
Hakuna kitu kibaya kama kutoa ushauri wa mahusiano ya wapenzi wawili/wanandoa waliokorofishana kwa kusikiliza upande mmoja. Ni lazima usikilize pande zote ili u-balance story. Narudia tena: Epuka kutoa ushauri au uamuzi wowote kwa kusikiliza maneno ya upande mmoja. Utakuwa unazidi kuharibu kwani hutajua chanzo cha tatizo hasa ni nini. lady in action huna ndugu, marafiki na jamaa? Kwa nini hupeleki haya malalamiko yako mkakalishwa na kusikilizwa?

Je, inawezekana unapenda kuyaweka hapa kwa sababu hatuwezi kusikiliza upande wa hao wanaume/mwanaume wako? Hili mimi nina experience nalo tena kubwa. Kuna kinamama ninaowafahamu ambao kama huwajui, ukisikia malalamiko yao basi unaweza kudhani wao ni malaika na hao wanaume wao ni mashetani. Lakini ukichunguza kwa muda na kuuliza majiraji au ndugu unakuta hao wanawake ndiyo ''mashetani'' na hao wanaume wamevumilia mengi sana.
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma natamani kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O nina mtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Si ulimwambia hajui kukuna?
Umeshindwa kujishusha uombe msamaha?
 
huyu dada nimefatilia nyuzi zake nimeona ana bahati mbaya kweny mahusiano yake yote,ameteseka miaka mingi kweny hayo mahusiano yake,,ko mnaomkejeli acheni mala moja wala msimshauri arudi kwa mmewe,,mwacheni apumnzike atulize akili.

mi namshauri atafute tu mwanaume wa kumtoa nyege asirudi kwa mmewe.
Watu kama wewe hamfai kabisa, akishatolewa hizo nyege what next?.

Mtoto naye atashindia hizo ny..ge?
Mshauri ajishushe.
Nimewahi kusoma mahala amemkashfu mmewe so hata yeye ana matatizo makubwa
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma natamani kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O nina mtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Usikate tamaa.

Angalia PM kwako
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma natamani kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O nina mtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.

Njoo PM upate msaada.
Mambo madogo hayo
 
Sahii kabisa,
Dada yetu huyu anahitaj kushauriwa.
Ila Sasa mpk kwa hiari yake mwnyw afungue moyo akubali kushauriwa

Chanzo
nadhan ukifuata nyuz zake kwa makin utakiona mkuu, naamini humu jf wee mi mchunguz mzur Sana wa saikolojia ya mtu ktk maandish yake.

Dada yetu ana matatizo makubwa sana jins anavyoendesha mahusiano yake,
(Nishawahi kua na wanawake kaliba ya mtoa mada)

Hali hiyo inapelekea kuchokwa mapema sana, kukinaiwa na kuua hisia za mapenz kutoka upande wa pili.

Nakazia,
Dada yetu anahitaj USHAUR


Sent using Jamii Forums mobile app
Surely mkuu
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma natamani kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O nina mtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Mungu halali anaona mahangaiko yako jipe moyo na ujipambanie tafuta watu wako wa karibu zungumza nao unapohisi upweke..Time heals everything na Mungu atakuinua
My mom happened to him same story tukiwa wadogo alipambana naamini wewe ni Mwanamke imara,Simama ujipambanie Usikate tamaa alafu Sali sana
 
Wanasayansi bado hawajapa dawa ya kutibu maumivu ya mahusiano, atakae igundua atapiga sana pesa.
Time heals bro atakua sawa anahangaika na mambo mawili kwa wakati mmoja hivo inampa taabu ila atakaa sawa
 
Siwezi nina watoto 2
1) Miaka 7 baba yake alishafariki
2) Ana mwaka 1 wote wananitegemea siwezi fanya chochote kibaya Mungu anisaidie
Sali Dada Yangu alafu Simama wewe ni Mwanamke imara usikubali kujiona dhaifu kwa dhihaka za watu ama kwa namna yoyote,Maisha yanabadilika na unaweza kuwa chochote,Pambana
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma natamani kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O nina mtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Pole Sana madam nimepitia Baadhi ya nyuzi zako nimepja hili swala limekuhumiza Sana,

Kama nitakukwaza nitakayosema I am sorry,
Nimeona kwamba ulimpenda Sana huyu kijana ila kwa mda mlio kaa kwenye urafiki mpaka kutambulishana kea wazazi ule ulikuwa mda Mdogo Sana , na ninauhakika hukumfahamu Tabia yake vizuri hata kwao wapoje na wanatabia gani. Ni Jambo ulilifanya kwa haraka Sana. Ila ishatokea tayari.

Omba MUNGU kwa juhudi akupe amani moyoni sawa.
 
Wanawake JF mshikeni mkono mwenzenu huyu anahitaji faraja, uangalizi wa karibu, kuoneshwa upendo wa hali ya juu, kujaliwa.

Nimepitia nyuzi zake hayuko sawa.. Hawa ndio watu hawachelewi kuchukua uamuzi mgumu(Mungu amuepushie mbali ujinga huo)
Yani huyu Dada mkuu inaonesha anampenda Sana huyo jamaa Tena Sana.

Na hata kenye mahusiano kabla ya kuingia kwenye ndoa kulingana na yeye nyuzi zake alivyoeleza, Kuna viashiria vilijionyesha kuhusu huyo jamaa ila halivipuuzia, hayo naamini alimpenda huyo jamaa.
 
Kitu pekee mwanamke anaweza nishawishi kuwa mumewe hafai ni an abusive man.
Mengine huwa ni selfishness tu
 
Back
Top Bottom