Nimenyosha mikono tz nzima watoto wakali wako moshi Kilimanjaro

Mwanamke wa kuoa n tabia yake nzur kila cku tunakutana na maujumbe kwenye mabajaji na magari ukisema kosea kujenga nyumba ila c kuoa na raha ya ndoa n kucheka na kufurah pamoja na mwenza na vingnevyo.
Mkuu kabla ya kujua tabia ya mwanamke sii unaanzia sura kwanza au unaweza kuuoa mwanamke ambaye hujamuona sura yake lakin ukawa ushaona tabia yake tu?
 

WASUKUMA NA WANAWAKE WEUPE NI KAMA ANAWAKE NA HELA AU SAMAKI NA MAJI ANAWEZA AFANYE CHOCHOTE

WAZEMBE SANA NYIE WASUKUMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…