Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inna mmoja huyoHuko kuna Wairaqw (Wambulu),ni wazuri ila hawajui kusema HAPANA
Njoo na Arusha nafikiri utatengua KauriAman iwe kwenu wapendwa
Kwanza kwa kuondoa utata Mimi siyo Wa Kilimanjaro Mimi ni msukuma Wa mwanza lakin Niko huku Kilimanjaro tumekuja huku na mjomba kusalimia wakwe zake maana kaoa huku
Twende kwenye maada
Alooo ngosha wenzangu huku kuna watoto weupe kishenz wana saut nzur hizoo aloo aloo usipime Mimi nimenyosha mikono ndugu zangu watoto ni twiga warefu kama Wa kwetu usukuman sema hawa ni weupe sana
Yaan wanavyoniita ndo nachoka kabisa naitwa baba Yangu aisee Mimi nitahamia tu huku jaman
Siku nikikutana na mtu akawa anawaongelea vibaya watoto Wa huku Kilimanjaro nitapigana Naye. Kwanza hapa alipoa mjomba hii familia ni weupe kama waarabu Wa kayenze, kuna mtoto mmoja nimemzimikia hapa kashanipa na namba lazima niache alama huku
Nimetembea mikoa mingi lakin huu mkoa nimenyosha mikono yaan nimewavulia kofia kabisa
Wachaga mumebalikiwa kuwa na wasichana wazur weupe hongeren sana ngosha lazima nitakuja kuoa kwenu
LONDON BOY
Endelea kubisha lakin Mimi nimejionea kwa macho yangu
Hahahha naona unawaogopesha raia wasije pm lini nimefunga mm insta babeimeshindikana insta babe... nahisi pm yako ina kufuli
Kumbe mnaitana babe Hata pm hamjafika! Nyie wazembe kweli@shunie
siyo kila chaduara alafu cheusi ni tairi la gari kijana...
mengine yasome na uyaache kama yalivyo siyo lazma uyaelewe
Amna kitu kama hicho mzee baba ngoja Shem wangu shunie aje anieleze vizur
bila picha mzeeAman iwe kwenu wapendwa
Kwanza kwa kuondoa utata Mimi siyo Wa Kilimanjaro Mimi ni msukuma Wa mwanza lakin Niko huku Kilimanjaro tumekuja huku na mjomba kusalimia wakwe zake maana kaoa huku
Twende kwenye maada
Alooo ngosha wenzangu huku kuna watoto weupe kishenz wana saut nzur hizoo aloo aloo usipime Mimi nimenyosha mikono ndugu zangu watoto ni twiga warefu kama Wa kwetu usukuman sema hawa ni weupe sana
Yaan wanavyoniita ndo nachoka kabisa naitwa baba Yangu aisee Mimi nitahamia tu huku jaman
Siku nikikutana na mtu akawa anawaongelea vibaya watoto Wa huku Kilimanjaro nitapigana Naye. Kwanza hapa alipoa mjomba hii familia ni weupe kama waarabu Wa kayenze, kuna mtoto mmoja nimemzimikia hapa kashanipa na namba lazima niache alama huku
Nimetembea mikoa mingi lakin huu mkoa nimenyosha mikono yaan nimewavulia kofia kabisa
Wachaga mumebalikiwa kuwa na wasichana wazur weupe hongeren sana ngosha lazima nitakuja kuoa kwenu
LONDON BOY
mi nakajua full mapicha hotelini jana watoto waki breezeAman iwe kwenu wapendwa
Kwanza kwa kuondoa utata Mimi siyo Wa Kilimanjaro Mimi ni msukuma Wa mwanza lakin Niko huku Kilimanjaro tumekuja huku na mjomba kusalimia wakwe zake maana kaoa huku
Twende kwenye maada
Alooo ngosha wenzangu huku kuna watoto weupe kishenz wana saut nzur hizoo aloo aloo usipime Mimi nimenyosha mikono ndugu zangu watoto ni twiga warefu kama Wa kwetu usukuman sema hawa ni weupe sana
Yaan wanavyoniita ndo nachoka kabisa naitwa baba Yangu aisee Mimi nitahamia tu huku jaman
Siku nikikutana na mtu akawa anawaongelea vibaya watoto Wa huku Kilimanjaro nitapigana Naye. Kwanza hapa alipoa mjomba hii familia ni weupe kama waarabu Wa kayenze, kuna mtoto mmoja nimemzimikia hapa kashanipa na namba lazima niache alama huku
Nimetembea mikoa mingi lakin huu mkoa nimenyosha mikono yaan nimewavulia kofia kabisa
Wachaga mumebalikiwa kuwa na wasichana wazur weupe hongeren sana ngosha lazima nitakuja kuoa kwenu
LONDON BOY
Ohoooo yesu yupo milembe huyo ni mungu wa watu shauri yakoMilembe ina kuhusuView attachment 977265
hahahah... insta babe imenigomea asee..Hahahha naona unawaogopesha raia wasije pm lini nimefunga mm insta babe
😂😂😂😂Insta babe bwana nakupendea hapo tu unavyonifurahisha [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] beira mm sina cha kukujibu umeshajibiwa
hahahah... siwatishi asee... ila mm inanigomea labda ujaribu kuntumia pm then tuone kama ntaweza replyHahahha naona unawaogopesha raia wasije pm lini nimefunga mm insta babe
Sasa kama unatafuta ngozi nyeupe unakwenda bukoba unaipatia wapi?!Nimetembea sana mikoa kama bukoba, panda, katavi na mbeya haina watoto wakali ni Wa kutafuta kwa toch
Demiss tunakuheshmOa tu mkishapata mali jiandae kutangulia kaburini
Ahaahahaaaaa yy ndo kaona ivyo kwa utafit wake na ww fany utafitUnatudhalilisha sie tusiotoka Moshi etiee??!! Mwenyewe Moshi ndio mji wako wa kwanza tu kutembelea tangu umetoka kijijini kwenu Kintinku ndio unatuletea kauli za kishamba hapa. Hiyo sensa umeifanya mikoa mingapi mpaka ufikie conclusion hiyo?