sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Teh.... Kwa Hiyo ulimuacha kwa kushauriana na mchepuko wake ??? Hapo ndipo ulipoksea....ulifanya maamuzi kwa kumkomoa mwanamke sasa unalia lia.....
Hv kama ungempata mzuri anaekufurahisha bed ungemkumbuka Huyo x wako???
U don't love your x .....
Komaa na Huyo wandoa mfundishe Nini unataka!!!
LA sivyo utaangaika saana
Hv kama ungempata mzuri anaekufurahisha bed ungemkumbuka Huyo x wako???
U don't love your x .....
Komaa na Huyo wandoa mfundishe Nini unataka!!!
LA sivyo utaangaika saana