mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
mkuu kwa hiyo yakobo alikuwa na mke mmoja?mi nawajua wawiliHao hawakua wake walkua vijakaz mkuu Ibrahim alikua na mkewe Sara mpk Sara alipotaman mtt na kumruhusu mmewe kutembea na kjakazi na sio kuoa mke wa pili.... Mpk Mungu alipoona maumivu ya Sara nakuwapatia Mtt ktk uzee.. Mke ni 1 tu mkuu