mkuu kwa hiyo yakobo alikuwa na mke mmoja?mi nawajua wawiliHao hawakua wake walkua vijakaz mkuu Ibrahim alikua na mkewe Sara mpk Sara alipotaman mtt na kumruhusu mmewe kutembea na kjakazi na sio kuoa mke wa pili.... Mpk Mungu alipoona maumivu ya Sara nakuwapatia Mtt ktk uzee.. Mke ni 1 tu mkuu
umeongea ukweli, kichaa cha moyo ni kibaya sana
Ndio lina ukweli. Inawezekana mwanamke akawa ameolewa au kudate na mwanaume ambaye hakumpenda ila upendo anaouonyesha yule mume kwa mkewe humvuta mwanamke. Baada ya mda mke hujikuta anampenda mmewe tofauti na mwanzo. Umewahi kuwaza inakuaje mdada amechaguliwa mchumba na wazazi halafu akawa hamkubali jamaa, then anaolewa kwa shingo upande ila baada ya muda anakuwa tofauti, anaonyesha upendo wa hali ya juu kwa mumewe.
hapana, ya binti yanguhiyo avatar yako hiyo...
sio uislam tu hata ukristo hakuna mahali wamezuia mtu kuoa mke zaidi ya mmoja isipokuwa tumefata ustaarabu wa wazungu badala ya kufata kweli yaani biblia
KeAsante mkuu
Wew ni me au ke
Ustarabu wa wazungu... By the way bibilia haijaanzia kwa wazungu...sio uislam tu hata ukristo hakuna mahali wamezuia mtu kuoa mke zaidi ya mmoja isipokuwa tumefata ustaarabu wa wazungu badala ya kufata kweli yaani biblia
Nimeoa mwanamke ili kumukomoa mwanamke ambaye nilimpenda kwa dhati ambaye nilikuwa naye mahusiano kipindi cha mwaka mmoja.
Tuliahindiana kumuoa ila doto hizo zilizimika pale nilpomununulia simu ya Huawei y330.
Ikiwa siku moja nilipochukua simu yake nakwenda kwenye call history ili kuangalia namba anayowasliana nayo mara kwa mara.
Nikakuta namba ya mtu mwingine.
Ambayo namba ile ilikuwa imepingiwa na kupinga mara nyingi zaidi yangu mimi.
ambaye history ilionesha nimepigiwa mara tano na jamaa kapigiwa mara 89.
Siku ile nilichukua ile namba nakuipingia nakungudua ile namba kumbe ilikuwa na mimi ninayo kwenye simu yangu
Jamaa nikawa nimemujua.
Baada ya hapo nilimtafuta jamaa tukaongea kiume tukayamaliza na ili kumkomoa yule dada.
Tulielewana na jamaa tumuache wote na tukawa marafiki sote tukashauriana tukaoe kwingine kweli lengo letu lilifakiwa tukaoa na yule damu akabaki hana boyfriend tena.
Tangu nioe leo ni mwezi mmoja na mahali nimetoa ngombe 12
Baada tu yakuoa yule dada alikuja kwangu nakuniomba msamaha kwa yale yote yaliyotokea
Kusema ukweli nampenda sana huyu dada
Na huyu niliyemuoa sifurahii kabsa katika tendo hadi inafikia wakat ili kuijoy zaidi nihamishe akili kwamba ni yule wa zamani ninayefanya naye tendo
Vituko na dharau kwa huyu niliyemuoa zinanifanya nimkumbuke zaidi x wangu.
Jamani wana JF naomba msaada wenu wa mawazo nifanyaje kwenye njia panda hii ya mapenzi.
Sasa si biblia ingesema alimuumba adamu na wanawake watatu au wanne, huhitaji hata certificate ya zoom hapo.wewe ni maamuma wa maandiko kina ibrahim yakobo daudi na wengine walikuwa na wake wangapi?ni wapi Mungu au biblia imekataza mtu kuwa na mke zaidi ya mmoja
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] okay tumsubiri yeye atakaewahukumu walio hai na wafu, tutajua hapo. Wewe unayesema uongo utajua hapo hapokwa kukusaidia tu imani ya ukristo tuliyoletewa na wazungu ina matobo kibao likiwemo hilo zaka utatu mtakatifu na mengine mengi mara sijui shetani alikuwa malaika yote haya ni uongo hakuna ukweli hapo