Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Namshakende

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
671
Reaction score
1,644
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
 
Back
Top Bottom