Ndugu inabidi uwaelewe wanawake aisee.Haya mambo hutaambiwa au kufundishwa na mchungaji wako au padre haya mambo utaambiwa na wanaume wenzio.
1.Jitahidi usimind vitu vidogo hivyo
2.Wanawake wako very complex kuliko wanaume - wanahisia na kusumbuliwa na vitu vingi.
3.Jifunze mkeo akinuna usimchokonoe na kupambana kujua tatizo ni nini au ukaanza kujihisi.Utakuta hata wewe huusiki wala hakuwazi wewe - hormones zimechangamka au ana mambo personal yanamsumbua
4.Kuwa busy: na kama huwezi basi nenda katembee huko kwa wadau piga moja mbili ukirudi nyumbani unapumzika
5.Usilazimishe kula mzigo kama unavyoshauriwa humu - utazidi kuharibu - just give her space atakuwa tu sawa.
6.Tambua hata unyumba jiandae kupitisha hata miezi 4 - usije sasa ukarudi humu kuanzisha uzi wa kuvunja ndoa kisa mzigo.
7.Uliza wanaume wenzio wanasurvive vipi then jifunze, acha kulalamika mitandaoni au kwa watu wa mtaani ovyo utamdhalilisha na wote mtajivunjia heshima.
Unalalamika kununiwa hivi husomi mitandaoni wenzako wanafilisiwa na wake zao wa ndoa wanarudi kuwa maskini.Ishi na mkeo kwa akili - muelewe, mchukulie madhaifu yake, sononeka, muonee huruma, they are very weak physically, emotionally n.k Wanaume wote unaokutana nao nje huko wana mabalaa hili la kwako cha mtoto - wengine wanakutamia kabisa - watu wanabeba misalaba sio mchezo.