Bro me nlikuwa kwenye relationship na mtu kwa labda let's say 1 day sababu we had one day to hang around sasa we went around na nini akarud kwake me nkaenda kwangu, surprisingly akabadilika mood akawa hajibu msg kwa wakati nikapotezea, kesho yake akanipa ratiba ya anapoenda maybe alidhan ill be interested and I'll join her kusema ukweli me nlimdanganya nilipo ili nisiende alipo sababu nlikuwa sinza na washkaji zangu alafu nlikuwa na mwanamke mwingine. Wanawake sijui wanatoaga wapi mood swings wanazokuaga nazo, alinikata simu hadi leo mwanamke akisema tufanye relationship mpaka nimweke moyoni na karibu ajue kila kitu changu kazi anayo, sipendi, kupotezeana muda wakati pussy is very cheap nowadays.. MSEMA UKWELI MPENZ WA MUNGU... usioe mwanamke kabla hujamjua vizuri, unaweza kumtomba ila usioe kabisaaa, wanajua kuigiza na kuplay victims kwa muda mrefu. KAA KIMASTA