Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Shida ya kuingia kwenye ndoa ukiwa haupo tayari madhara yake ndio hayo. Ndoa sio majaribio, kaa na mwenzako uyamalize.
Kuyamaliza bila kumlala ni vigumu sana.

Kama bado kakununia, anzisha visa vya wazi vya ugomvi, zabua makofi kisha mbake.

Utakuta kesho anazoa nguo kwenda kufua, upendo na heshima vitarudi na vitaongezeka.

Mbona ni mambo ya kisaikolojia yanaeleweka hayo?

Usipoamua ugomvi kibabe shauri yako, endelea kulea pimbi, mwisho ataota mkia.
 
Katika safari ya maisha, mafanikio katika kila sekta yanahitaji mwongozo kutoka kwa washauri wenye uzoefu. Ninajivunia kujifunza kutoka kwa watu ambao wamefanikiwa na wako tayari kushirikisha uzoefu wao.

Siwezi kupokea ushauri kutoka kwa mtu ambaye hana uelewa wa Msingi katika eneo husika, kama vile ndoa. Uzoefu ndio msingi wa ushauri wenye thamani.

Zaidi ya hayo, kwa sisi ambao tunaanza safari ya ndoa, ni muhimu sana kuwashirikisha watu ambao tayari wamepitia na wanaendelea kuishi maisha ya ndoa. Mawazo yetu wenyewe yanaweza yasifikie muafaka wenye busara kila wakati, na hapo ndipo hekima na uzoefu wa wengine unapoingia.


Ningependa kutoa shukrani zangu za dhati kwa michango yenu yote. Nimesoma na kuzingatia kila neno To yeye . Uzoefu na hekima yenu ni hazina kubwa kwangu.

Nitaendelea kutafakari na kutumia ushauri huu katika safari yangu. Nitarudi hivi karibuni kutoa mrejesho kuhusu maendeleo yangu.
 
Wenzio hatufukuzi - unaondoka unaacha kika kitu unaenda kuanza upya.
 
Kazi kweli kweli
 
Unakua kama ni mgeni kwa wanawake mkuu? Mwanamke anaweza kukuonesha attitude zaidi ya tano ndani ya mwezi mmoja. Unachopaswa kufanya ni kumjua mkeo vizuri, hizo ndo tabia zao jitahidi uwe mkomavu utatue matatizo yako mwenyewe. Kuishi na mwanamke sio kitu rahisi.
 
Au na kiduduwasha kakataa kukupa
Akiyamungu! 😁😁😜

Mkuu mbona umeuliza kama msimbe?

Ukinuniwa maana yake njia kuu zote za kukufurahisha wewe hukatwa, ni vita vya kiuchumi hupiganwa ndani ya nyumba ili uangukie kubembeleza.

Utapewa huduma za msingi pekee kama chakula na maji kama mfungwa ili usife bila ya kuhangaika kukusemesha.

Tena unapovihitaji utaelekezwa kwa ishara ya miguu, maana hawezi tena kutumia mikono yake ya thamani ambayo huitumia kukustareheshea.

Upendo na mapenzi husitishwa.

Husemeshwi, husalimiwi, hutabasamiwi na mtu kutwa nzima anaimba ngonjera za taarabu.

Kitandani unalaliwa na nguo za kutokea kama mtu yuko stend ya Magufuli akingojea kusafiri!

Ni kamgomo flani ka kipumbaf pumbaf kuchezea saikolojia.

Ndiyo maana wazoefu tunaojua hayo maswala, pointi ya kwanza tuliyoelekeza afanye, ni hicho unachokiita wewe 'dudu washa' ndicho anachoringia mnunaji kifumuliwe bila bismilah.

Ataona mwenyewe namna upendo na nidhamu vitavorejeshwa over scale kwa kasi ya ajabu mpaka atajidai.
 
Dah changu kina kiburi na dharau afu sura ya kawaida sanaaa
 
Haya yote ya nini sasa alaah utasema mke ni machine inakuja na manual settings


Vijana wa kataa ndoa wapo sahihi
 
Kwani ulilazimishwa?
 
Tatizo mnao bila kuwa na akili au ufahamu wa ndoa ni nini, madhara yake ndiyo hayo, na huenda unachovya chovya hovyo tu nakujikoromea huko, wengine kuongea hawawezi sasa wewe bila kujiongeza utapata shida na ndoa yako 🀭
 
Kweli wewe Ni Kende asee
 
Nenda kapige tungi akili itakaa Sawa.
 
Endelea na ratiba zako kama kawaida, don't stress yourself,kama unapenda movies kuwa busy nazo au kama mpira angalia hata marudio tu, utaona anarudi mwenyewe.

NB: Mmekuwa kwenye relationship kwa muda gani? Je, before ndoa umewahi kuwa naye karibu hata kukaa naye under one roof? Kama mlikuwa mnaonana restaurants tu ni shida,hukumjua vizuri.......ila onyesha masculine quality, tofauti na hapo utakuwa mtumwa wake
 
Unataka umfurushe after two weeks sio, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…