Nimeokota vyeti vya Baraka D Ninarwo, anayemfahamu Tuwasiliane

Hivi kwa mfano wale walioingiziwa Mabilioni ya Escrow wangekuwa na moyo kama huyu mtoa mada na kutangaza jamani kuna hela zimeingizwa kwa bahati mbaya kwenye account yangu ingekuwaje? Matokeo yake wao wamezichukua na kwenda kununulia MBOGA na DAGAA KAUZU.
 
Asante mkuu kwa taarifa. Ungeongezea details kidogo labda ni vyeti vya namna gani,uliviokota wapi etc etc.

Yeye mwenye vyeti ndie atakaeeleza yote hayo. Akiziweka hizo taarifa hadharani atamtambuaje mmiliki halali?
 
nimepata sms kutoka whatsaap eti kuna mtu kaokota vyeti vya mdau huyu, vya shule hadi chuo, eti apige 0767662486....nawasilisha
 
Vyeti vya huyu jamaa vinaokotwa kila siku?
 
Hili jamaa litakuwa levi sana..kila siku linapoteza vyeti..mxxxx
 

kweli kakaa ingefaa sana
 
Huyu mtu atakuwa mzembe sana kila mwezi anapoteza vyeti??? duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…