Nimeolewa ila huyu mkaka mbaya sana

Nimeolewa ila huyu mkaka mbaya sana

Kama kunaaliyemuelewa anithimuliee upya daaaah.

Mliofeli kidato cha 4 mnatupa tabu sana kuwaelewa
Wewe na hao wanafiki wenzenu mkafie huko mbele mnajiona sana.
Hamna lolote mnastress za corona hakuna hela .
 
Mtaka yote kwa pupa hatimae hukosa yote. Baki Njia kuu, acha tamaa. Huyo Mwarabu akisha kukuonja na kukukinai atakuacha solemba, na huku kwa mume utakuwa umeshaharibu.
 
Kama kunaaliyemuelewa anithimuliee upya daaaah.

Mliofeli kidato cha 4 mnatupa tabu sana kuwaelewa
Mbona ameeleweka jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila si mzuri Sana kwenye kusimulia.
 
Hujui hata kutunga story, rudi shule.. mwone
Money penny akupe ujuzi
Kuna kajamaa kananitaka niachie ngazi kwa mume wangu. Yaani niwe naye kama mke na mume nimuache mume wangu niliyenaye sasa hivi. Ni hivi nilienda supermarket kwa mkijana mmoja mzuri sana mrefu wastani na anavutia .

Sisi wadada tunapenda matunzo na pesa kweli anajitoa. Shida hajui na mume mie KATOTO KAZURI KAWATU. Sasa siku moja mume wangu akaungusha picha akaniambia twende shopping wote (supermarket ya jamaa anayenifukuzia ) sijui alisanuka kwamba katoto kanaibiwa (ambaye ni mimi )nanikasukari si chumvi basi tukaenda huko kwa huyu mchepuko wangu kazuri kadogo kanasix paki kazuri eti.(mwenye supermarket).

Kaarabu(mwenye supermarket) wala sio koko basi but ni mwarabu kabisaa. Mume wangu kaanza visa vya mwenye punda ), baby njoo nataka hiki njoo vile njoo hivi humo supermarket kwa jamaa alikuwa ananiganda I mean mume wangu

Yule kaka akamezea mate vyote Mume wangu alivyokuwa anafanya huko supermarket kwa jamaa. Mume wangu alilipa makusudi vitu vyote tulivyonunua na kumwachia tipu kuwa asinizoe mie mke wa mtu hajanishindwa kwa matunzo akae mbali. Mwonyeshelea vituko mara kisses nakubanana kama ndizi na akasema hivi ,( mume wangu huyo ) huyu ni mke wangu akija hapa tafadhali jua ni mke wa mtu .

Yule kaka akadai sawa bossy (mwenye supermarket). Tukaondoka

Leo nilikuwa naenda mjini akanisimamisha akaniambia na mazungumzo na wewe. Dah jioni narudi na kababy kangu wee akasema aniue, anichinje ila MKE WA MTU MTAMU NITAFAITI HATA NILE TUNDA NITAFANYA KILA KITU NIKUPATE.

Nisaidieni ndoa haina hata kamiaka ni mwaka na hao wakina zero minded hao wanasumbua .
 
Hujui hata kutunga story, rudi shule.. mwone
Money penny akupe ujuzi
Nini nani anakuomba ushauri pita hivo kasome story zake kwani mimi nimekuwa mtunzi wa vitabu natangia lini anajulikana kwa kuandika vitabu mkoani licha nchini wewe hakuna mtu humu ananitisha maana katika maisha yangu nipo mwenyewe katika kuhustle
 
Matatizo ya kuoa mahausigeli haya.
Ndio sisi ni watamu walionaelimu mbona wapo single hamuwaoi .
Namkiwaoa kwa bahati mbaya mnatuvizia sisi mahausigeli kazi kutoa shombo mdomoni ila mnakuja usiku kulamba K za hao mahausigeli .
Wewe ni limbukeni.
Na hao wafuasi wako nyie ndio wale mnajishaua hamtaki mbichi zile mbele za watu kumbe nyuma ya pazia hadi mavi unakula shuwaini kenge usiye na rangi.
 
Ndio sisi ni watamu walionaelimu mbona wapo single hamuwaoi .
Namkiwaoa kwa bahati mbaya mnatuvizia sisi mahausigeli kazi kutoa shombo mdomoni ila mnakuja usiku kulamba K za hao mahausigeli .
Wewe ni limbukeni.
Na hao wafuasi wako nyie ndio wale mnajishaua hamtaki mbichi zile mbele za watu kumbe nyuma ya pazia hadi mavi unakula shuwaini kenge usiye na rangi.
Matatizo ya kuoa mahausigeli haya.
 
Back
Top Bottom