Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio eti umejuaje??we komaa na ndoa yako..kwa maelezo yako inaonekana mumeo anakupenda ..kinachotaka kukudangisha ni nini hasa???????????????tulia upakuliwe na aliyekupika wewe
Hawajafuta kwa sababu we dare to talk freelyModerator muwe mnaangalia na uzi za kuwa huk,mtasababisha tusiwe tunafungua uzi huk
Hakuna mwanamke mmbayaWeka picha yako tuone kama wewe ni kazuri kweli.
Usikute kanyaboya tu
Wabaya wa sura mko wengi sana.Hakuna mwanamke mmbaya
Gusanisha
Hivi ni kweli mwanamke aliyeolewa na anaiheshimu ndoa yake, atakapo tongozwa na mwanaume wa nje anaomba ushauri afanyaje?Nimefanyaje??
Wewe katoto kazuri, samahani lakini? Ulimaliza elimu yako ya msingi?Sawa mi mkenya hata hivyoo mamboo