Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Hii imenigusa
 
Ndio tatizo la wanawake hawaridhiki yaan badala ya kujenga maisha anawaza ngono! hiv lait ungemkuta mmeo anafanya uwazayo ungejifikiriaje! anyway hata ww sio mlokole what ur doing its not fair! naamin kama ukifanya mungu atakulipa hapa hapa dunian na kamwe hutomwacha huyo kichaa umtakaye!
 
Huyu Hana cha kichaa wala not... Anatafuta mwanamme mwenye dudu refu na kichwa kikubwa... Kama unalo na umempenda mwendee PM mmalizane.... Lkn ujue mwanamke huyo ana pepo wa ngono.
 
Duh! ila Binadamu tumeumbwa na Tamaa... maana hata House girl mgeni akija mwanzo huonekana mbaya ila siku zinavyozidi kuendelea house girl anakuwa mzuri japo kiukweli huwa yupo vile vile... Sasa huyu mke wa mtu katamani dushe... ila atambue siku akijilegeza ajue na ndoa imeisha vichaa wana wivu mno anaweza hata kuua maana ataona ni wake huyo... na siku akimpa ni mimba hapo hapo...
 
Hii kali ya mwaka aisee!umeniacha hoi kbs nimeshindwa hata kushaur au kufanya nini nimebaki nakutafakari mlokole wewe duuh
 
Mi nadhani kinachokuchanganya ni hicho kichwa
kikubwa cha naniliu.
Na shetani ameijua haja yako
anataka akuaibishe siku moja kama hutachukua hatua
badilisha njia,na ujizuie kumuangalia endapo utapita njia hiyo.
 
Wapo waliowahi kumfukuza kichaa asije nyumbani kwao, kumbe wanamfukuza Yesu, sasa nahilo lipime ukiona vipi mhudumie huwezi jua.
 
Ukiona hivyo ujue na wewe ni kichaa. Wahi hospitali.
 
Ww bado hujampokea Yesu bali ni msaliti wa Yesu bado unayafufua madonda ya Yesu msalabani na ndio maana siku zote huwa nawapinga sana hawa wanajifanya wamempokea Yesu ndani ya mioyo yao kumbe ni wazandiki wakubwa sana sawa na Mafarisayo machoni mwa watu ni wanakondoo wema lakini mioyo yao imejaa laana tupu nakushauri achana na hili neno la kwamba umempokea Yesu bali sema ww ni mfuasi wa shetani.
 
umesema ana nyeti kubwa zenye kichwa kikubwa, na huwa unamwangalia tangu anaanza hadi anapiga makelele umekodolea tu mimacho, ungekuwa mwanamke wa staha ukiona uchi wa oposite side huwa tunageukia pembeni na kuondoka, ila wewe unakodolea mimacho na pengine unaangalia kupitia dirishani. vilevile, unaposema ubooo mkubwa, unatuambia kwamba mumeo anao mdogo na kichwa kidogo ndio maana umeutamani wa huyo kichaa. umemdhalilisha bwanako sana aisee kama kweli umeolewa.
 
Mapepo yana njia nyingi ya kukuvurugia maisha yako sali sana usiingie majaribuni
 
Pole sana dada, kumbuka macho yatatupeleka wengi motoni.

USHAURI: Jaribu kubadilisha njia kama kuna uwezekano. Mungu akubariki
 
kwahiyo mwanaume wako ana uboooo mbodo na wenye kichwa kidogo sio kikubwa kama kile cha chizi.hahahaha.
 
Nenda kamwambie Mchungaji akuombee mwaya,majaribu humfuata alie okoka ili aweze kuanguka..ungekuwa hujaokoka wala hata usingemtamani coz roho wa uzinz ni wako anakuwa anakufanya uende kwa hadhi zako..pole.
 
Usiwasikilize hao nenda kagegeduke nae tu naye binadamu pia !we chelewa aje kubaka wanao!mpe uroda!
Ila mumeo akipitia huu uzi umekwisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…