Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Mimi naona huyo ndio mume wako ukiyepangiwa. Akuoe lkn huyo uliyenaye kwa sasa ni wa muda tu ama atapata tatizo au kupotea kabisa,na hapo ndio huyo chizi atakapopona na kuamua kukuoa wewe ,elewa wewe ndio unamiliki dawa ya huyo kichaa, papuchi yako ndo dawa mpe uone kama hatapona usiniite kwa jina langu
 
Hâta mwehunana haki
Hafu kwenye hayo mambo wanakuwaga active kama sio vichaa, ndo tuulize mchanganuo wa akili ya kichaa, inayowehuka ni ipi na kwa nini nyingine iwe na sense
 
Khe kheee kheeee mgegedo wa kichaa umezua jambo.

 
Acha kuutazama uchi Wa mwanaume ambaye siye mmewako......kaa nae mbali
 
Mama Temba daah,mbona mimi huwa hunisex?,leo nimekubamba.
 
Watu wanaodai kumpenda Yesu hadharani ni wabaya sana na ni wa kuogopwa kama ebola. Ukisikia mpenzi, mchumba ama mke akidai kumpenda Yesu hadharani kula mita.
Ona huyu anamwamcha mmewe anaenda kutamani dudu ya kichaa, mpe akuzalishe katoto kenye copyright yake na mmeo akupige redcard.
 
hv mi naoa ili iweje wakat dunia ya asaivi hakuna mke... wacha niwe mzinzi tu!
ndoa itanisikia kwenye bomba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…