Unawza ukakuta huyu anae andika ni mtu mzima mwenye umri 40+ anafamilia na watoto wanamita baba, ila bado hajajitambua anacho taka dunianiWanajukwaa am puzzled! Nimeduwaa!
Nimekuwa naenda kiwanja fulani basically nina asili ya upole, utu, busara, hekima, mapungufu hasira na pia ni typical introvert (reserved), kawanda sana sipendi show off kbsa na I put on low profile always always, sio mgomvi na sipendi ugomvi, nina weakness zangu na nikiambiwa I