Nimeomba “threesome” na Wanawake wawili kiutani wamekubali, nipo njia panda

Kuwa makini dodoma machangudo wanaojiuza wako nje nje isijekuwa umeopoa makahaba umewarahisishia maisha wewe mwenyewe unaona umepata kumbe umepatikana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Possibly [emoji4]
 
Aisee tamu mno hiyo,we panga siku ukawale
 
Na mimi kuna vijisenti nimevipata mahali nioneshe hilo chilo
 
Yaani sisi ndio tukupe green light, uende ukavunje amri ya 6, vingine muwe mnajiongeza wazee.
 
Acha upumbavu, jikite kwenye masomo
 
Aiseh hili ni balaa......me nachukulia kama ni umalaya, mkosi na uchafu mkuu......sio kila kitu utafanya hapa duniani... vingine waachie kina Shaban na MwaJ
 
Aiseh hili ni balaa......me nachukulia kama ni umalaya, mkosi na uchafu mkuu......sio kila kitu utafanya hapa duniani... vingine waachie kina Shaban na MwaJ
 
Niliwaomba mimi wote wawe mademu zangu na tuwe tupiga threesome wamekubali, kimtindo nilifanya kiutani wao wamekubali kweli, buda niko njia panda nipige show au niuze mechi
Mkuu karibu Dodoma ,!Ila Kwa maelezo yako yaelekea kuna jambo hujaelewa...Hiyo ni Threesome wa kuchunwa!
 
Mkuu karibu Dodoma ,!Ila Kwa maelezo yako yaelekea kuna jambo hujaelewa...Hiyo ni Threesome wa kuchunwa!
basi sawa ila nilijipendekeza mimi tu ila sio mbaya tutachunana in exchange, leo ndio leo 22022022 dublebuble
 
"Ilikuwa ni utani" je uliwambia kuwa no utani ili wasilichukilie hilo jambo serious? Kama ukusema we nenda kapige tu usijitaftie matatizo
 
ndo pombe sasa hizo.

Kila kitu unaona aaah mbona kawaida.

Ngoha zikuishe kichwani hapo breki ya kwanza spitali kupima maambukizi.

#dropthebottle.
sitaki kuweka profile zao hapa but expect am going for palatable and nutritious dishes, amazing edible product, trophic level ya uhakika
 
Wazembe wachache wanafanya wanaume tudharaulike, sa itakuwaje.!
 
Tumekutana wenye mapendo ya kweli, natamani muda wote niwe nao so rewarding as a man hailezeki seeing those shapes around me abundantly has energized me squarely, the vibrancy in me is awesome really.

Unakutana na wanawake bar [makahaba, no less] halafu unasema wenye mapendo ya kweli, pumbavu kabisa.
 
Tatizo unajisifia mno mpaka unaboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…