Nimeomba “threesome” na Wanawake wawili kiutani wamekubali, nipo njia panda

Kuna mshikaji wangu mmoja aliokota ma bar maid wawili Wazur hatar mnyiramba Na mgogo wamefungasha nyuma balaa akawashawishi akawa anaishi nao chumba kimoja jamaa ana godoro tu, cha ajabu alivyowaleta Geto wote wakaacha kazi wakawa wadada Wa nyumbani tu Na jamaa alikuwa akimchakata mmoja anageuka upande Wa pili anamchakata mwingine baadae jamaa akaona majiran wanamshangaa ikabidi amuambie kaka yake ajifanye anakitaka chumba eye kasafir ndio ukawa mwisho wa mahusiano maana wadada walikuwa wameshaloea hapo na hawakutaka kuondoka, hapo ndipo nilipoona Kuna baadhi ya wanawake wamejichoka.
 
Unaweza kweli kujisifu kwa kutongoza Malaya? Hiyo si ndio Kazi yao au?
 
Kama ni cha zamani mbona unabwabwaja hapa kuwa hujawahi kupiga threesome.!

Wewe ni mwandishi mzuri wa riwaya, tumia kipawa hicho kwa faida…. ukiitwa mpumbavu uwe unashukuru.

Pumbavu.![emoji276]
We bwege tu hio ni flashback that had nothing to do with threesome ila niliwala wote separately, japo sleeping we slept all three in same bed, umetumia akili za ufufu fc
 
kila mtu ashinde mechi zake
 
Sasa profile zao sisi zinatuhusu nini mkuu?

Hapo ni wewe na kiuno chako tu.

Dhambi zako mwenyewe, raha zako mwenyewe... sisi wasomaji tu sasa sana tutakuonyesha hakunaga dume kama wewe ila nyuma ya keyboard tunakung'ong'a.
kunguni kwako huna hujui makali yake wivu mbaya sana
 
Ndokwanza nshaamaua tayari na shoo iko half time, ntwapa feedback kesho mwenzenu nakesha kila mtu ashinde mechi zake, Utopolo wapo manungu, Simba wasubiri hamsa zao wkend
 
Mshamba mmoja tu hasa nikionaga mtu ana mix na ka broken English kweny kiji stor ambacho hakieleweki

Mshamba af mgeni [emoji1751][emoji1751]
 
Hili tangazo la kuwavutia wadada, mwanaume huwezi kuweka tangazo kabla ya tukio halijatekelezwa
 
Hili tangazo la kuwavutia wadada, mwanaume huwezi kuweka tangazo kabla ya tukio halijatekelezwa
But I have my Hooper's and Kandahar around me and am dunking all day, I wouldn't care the hawkers when it rains on them
 
Sema ulimaanisha hakunaga utani wa hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…