Nimeombwa hela ya kusukia

Ndo mwendokasi au utamtoa mmvi mtoto wa mwenzio
 
Mkuu......wakiwa wa bei juu si ndio yale yale?
BEI YA SOKO NI KAMA HIVI;
Kinondoni= 5000
Mwananyamala=3000
Uwanja wa Fisi=3000 mpaka 1000
Sinza=5000,10000 nk
na ukizingatia haombi vocha, soda wala hela ya kusukia. Chumba chake na zana ni zake.
Ndio maana nikasema ni salama kiuchumi lakini hatari kiafya.
 
Si aliona aibu kuchukua namba? Bas mwambie nawe unaona aibu ukituma iyo elfu 30
 
Aisee!!!
 
Hahaaahaaa ukome kuparamia hahaahaaaa bebi tuma basiiiii
 
kumbe upo iringa mkuu watoto wakinyaru mbona hawanaga mizinga rabda huyo atakuw wakichaga wapo hapa ipogoro chuo chao ndo uliokutana nao
Niko iringa mkuu,itakuwa ni mmojawao maana hadi nimeshangaa yaani kweli iringa?chuo chao kinaitwaje nije kudaka mwingine labda nitabahatisha wa bei ndogo.....ila ni visu daah!
 
Mweeh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…