Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

Naye kaanza mno na kiwango cha chinii, sasa na wewe 30 inakukimbiza??
Ndio umshangae, 30 analia, angeombwa 300 angechanganyikiwa asielewe kuwa kwa nywele wala sio pesa ya kutosha wala kutisha, umasikini bwana, anataka amtongoze akiwa kapendeza lkn Hajui kugharamia
 
Ndio umshangae, 30 analia, angeombwa 300 angechanganyikiwa asielewe kuwa kwa nywele wala sio pesa ya kutosha wala kutisha, umasikini bwana, anataka amtongoze akiwa kapendeza lkn Hajui kugharamia
We nae...kwani unafikiri nikikutongoza nina shida na urembo ama nywele zako?
 
Nelson nely sasa broo ndio ujue kaka kuwa zama zimebadilika kila masika na mbu wake. Hawa wanangata kidogo wale wanangata zaidi. Sasa kaka hapa ni kuchagua moja miaka hii ama uwe unakula kwa macho la sio hivyo hela ikutoke kaka, unapiga vitu na huku unalia. Akikuuliza mbona unalia? unadanganya utamu kumbe unawaza hela yako. Kubali kuchagua moja kaka. Tokea msukuma ashike mpini wengi humu JF wanalilia hili. Wenyewe wanakwambia raha tunapata sote kwa nini mimi ndio nilipie? ni mjadala mkubwa sana hapa na mpaka leo hii haujapata ufumbuzi mkuu.
 
Nelson nely sasa broo ndio ujue kaka kuwa zama zimebadilika kila masika na mbu wake. Hawa wanangata kidogo wale wanangata zaidi. Sasa kaka hapa ni kuchagua moja miaka hii ama uwe unakula kwa macho la sio hivyo hela ikutoke kaka, unapiga vitu na huku unalia. Akikuuliza mbona unalia? unadanganya utamu kumbe unawaza hela yako. Kubali kuchagua moja kaka. Tokea msukuma ashike mpini wengi humu JF wanalilia hili. Wenyewe wanakwambia raha tunapata sote kwa nini mimi ndio nilipie? ni mjadala mkubwa sana hapa na mpaka leo hii haujapata ufumbuzi mkuu.
Nimecheka sana
 
Wadada mtuache tuwape kwa sababu ni suala jema kumpa mpenzi wako.. Tusiufanye uhusiano ni vending machine.. Mkitupa na sie tunawapa... Hapana..tupeane kwakuwa tunamsukumo wa kupeana.

Hata hivyo.. Tunatoa pale tunapoona kunahitaji sio jamani?! Tunapenda unaponyoa basi tunaweka bajeti ya bebi kunyoa..sasa wewe hata interest zako sijazijua.. Hujui napendelea nn unataka ufadhili Wa nywele..je kama sizipendi?! Napenda ukinyoa?!
 
Wadada mtuache tuwape kwa sababu ni suala jema kumpa mpenzi wako.. Tusiufanye uhusiano ni vending machine.. Mkitupa na sie tunawapa... Hapana..tupeane kwakuwa tunamsukumo wa kupeana.

Hata hivyo.. Tunatoa pale tunapoona kunahitaji sio jamani?! Tunapenda unaponyoa basi tunaweka bajeti ya bebi kunyoa..sasa wewe hata interest zako sijazijua.. Hujui napendelea nn unataka ufadhili Wa nywele..je kama sizipendi?! Napenda ukinyoa?!
Umenena vyema kabisa mkuu kula like
 
Huyu dada nimekutana nae juzi kwenye gari kuja Iringa, nikamtongoza akajishaua shaua mwisho akaniambia nimpe namba ya simu atanijibu tukishaachana stand, nikampa.

Jana akanipigia na kudai amekubali ombi langu ila alishindwa kunijibu uso kwa uso kwa madai ana aibu sana. Sasa wakuu jana hiyo hiyo usiku wakati namtafutia usingizi na vidakika vyangu vya ofa mara akaniomba elfu 30 ya kusukia. Nikaeskutiiiiiiiii, yaani leo leo tu?? Nikaona haina shida, nikamwambia nakutumia kesho, yaani leo.

Sasa tangu saa 3 asubuhi anapiga simu mfululizo kuulizia! Kwani deni? Calls zishafika 67 hapa, nimemblock namba sasa anatumia namba tofauti tofauti eti "bebi mbona kimya sasa?!", mimi huyo????

Sjamuelewa kwakweli
Duuh
 
Back
Top Bottom