asante sana
Member
- Sep 18, 2015
- 33
- 12
Usitongoze kila unayemwona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwombe ya kunyoleaHuyu dada nimekutana nae juzi kwenye gari kuja Iringa, nikamtongoza akajishaua shaua mwisho akaniambia nimpe namba ya simu atanijibu tukishaachana stand, nikampa.
Jana akanipigia na kudai amekubali ombi langu ila alishindwa kunijibu uso kwa uso kwa madai ana aibu sana. Sasa wakuu jana hiyo hiyo usiku wakati namtafutia usingizi na vidakika vyangu vya ofa mara akaniomba elfu 30 ya kusukia. Nikaeskutiiiiiiiii, yaani leo leo tu?? Nikaona haina shida, nikamwambia nakutumia kesho, yaani leo.
Sasa tangu saa 3 asubuhi anapiga simu mfululizo kuulizia! Kwani deni? Calls zishafika 67 hapa, nimemblock namba sasa anatumia namba tofauti tofauti eti "bebi mbona kimya sasa?!", mimi huyo????
Sjamuelewa kwakweli
Hapana,nawasikiaga marafikizangu wakiongea tu.mi sipo hvyoVenossah!!!!.....
Hadi wewe?
Kaka ndo jitoe ufaham utumeHuyu dada nimekutana nae juzi kwenye gari kuja Iringa, nikamtongoza akajishaua shaua mwisho akaniambia nimpe namba ya simu atanijibu tukishaachana stand, nikampa.
Jana akanipigia na kudai amekubali ombi langu ila alishindwa kunijibu uso kwa uso kwa madai ana aibu sana. Sasa wakuu jana hiyo hiyo usiku wakati namtafutia usingizi na vidakika vyangu vya ofa mara akaniomba elfu 30 ya kusukia. Nikaeskutiiiiiiiii, yaani leo leo tu?? Nikaona haina shida, nikamwambia nakutumia kesho, yaani leo.
Sasa tangu saa 3 asubuhi anapiga simu mfululizo kuulizia! Kwani deni? Calls zishafika 67 hapa, nimemblock namba sasa anatumia namba tofauti tofauti eti "bebi mbona kimya sasa?!", mimi huyo????
Sjamuelewa kwakweli
Aisee yataka moyo sana mkuu!Kaka ndo jitoe ufaham utume
Tatizo ni karembo mkuu!Usitongoze kila unayemwona
Teh teh tahWewe mwombe ya kunyolea
Kweli....au 5 kabisa mkuu?Ndio zao hao, mwambie kama anakuuzia akufuate umgegede kisha mpe hio 10 yake sio 30 asepe
[emoji12] [emoji12] [emoji85]Hapana,nawasikiaga marafikizangu wakiongea tu.mi sipo hvyo
Ningezimia...Ww nae mshamba.ela ya kusukia tu unahubiri.ungeomwa ya gari???
Mkuu ni balaa....Nishidah kakuganda kama super glue.......!
Mkuu heri hilo la mwisho!michepuko inagharama sana kaka chagua moja lipia ujitoe muhanga au zuia pesa yako usalimike
Brazilian hair?yeye ni mbongo mkuu...tena mhehe sasa brazilian hair za nini tena hapo....si kuumizana huku?kuna mkuu alishasema humu,hawa viumbe hawana huruma na sisi!...naanza kuamini.Wanaume tunatofautiana sana elfu 30 za kusuka imekuwa issue. Ungeombwa hela ya kununulia Brazilian hair si ungeenda kufungua kesi police.
Id.kisu cha ngariba .unaonekana hapo kijijini kwenu ni shidamwambie aje jioni kuchukua,hakikisha unagegeda kwanza kabla ya kumpa
Teh tehId.kisu cha ngariba .unaonekana hapo kijijini kwenu ni shida