Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

Huyu dada nimekutana nae juzi kwenye gari kuja Iringa, nikamtongoza akajishaua shaua mwisho akaniambia nimpe namba ya simu atanijibu tukishaachana stand, nikampa.

Jana akanipigia na kudai amekubali ombi langu ila alishindwa kunijibu uso kwa uso kwa madai ana aibu sana. Sasa wakuu jana hiyo hiyo usiku wakati namtafutia usingizi na vidakika vyangu vya ofa mara akaniomba elfu 30 ya kusukia. Nikaeskutiiiiiiiii, yaani leo leo tu?? Nikaona haina shida, nikamwambia nakutumia kesho, yaani leo.

Sasa tangu saa 3 asubuhi anapiga simu mfululizo kuulizia! Kwani deni? Calls zishafika 67 hapa, nimemblock namba sasa anatumia namba tofauti tofauti eti "bebi mbona kimya sasa?!", mimi huyo????

Sjamuelewa kwakweli
Wewe mwombe ya kunyolea
 
Huyu dada nimekutana nae juzi kwenye gari kuja Iringa, nikamtongoza akajishaua shaua mwisho akaniambia nimpe namba ya simu atanijibu tukishaachana stand, nikampa.

Jana akanipigia na kudai amekubali ombi langu ila alishindwa kunijibu uso kwa uso kwa madai ana aibu sana. Sasa wakuu jana hiyo hiyo usiku wakati namtafutia usingizi na vidakika vyangu vya ofa mara akaniomba elfu 30 ya kusukia. Nikaeskutiiiiiiiii, yaani leo leo tu?? Nikaona haina shida, nikamwambia nakutumia kesho, yaani leo.

Sasa tangu saa 3 asubuhi anapiga simu mfululizo kuulizia! Kwani deni? Calls zishafika 67 hapa, nimemblock namba sasa anatumia namba tofauti tofauti eti "bebi mbona kimya sasa?!", mimi huyo????

Sjamuelewa kwakweli
Kaka ndo jitoe ufaham utume
 
michepuko inagharama sana kaka chagua moja lipia ujitoe muhanga au zuia pesa yako usalimike
 
Wanaume tunatofautiana sana elfu 30 za kusuka imekuwa issue. Ungeombwa hela ya kununulia Brazilian hair si ungeenda kufungua kesi police.
 
Wanaume tunatofautiana sana elfu 30 za kusuka imekuwa issue. Ungeombwa hela ya kununulia Brazilian hair si ungeenda kufungua kesi police.
Brazilian hair?yeye ni mbongo mkuu...tena mhehe sasa brazilian hair za nini tena hapo....si kuumizana huku?kuna mkuu alishasema humu,hawa viumbe hawana huruma na sisi!...naanza kuamini.
 
Back
Top Bottom