Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

Simu sina siyo mbaya ukininunulia hata ya laki tano ....nywele naona zimefumuka nipe sabini siyo mbaya ntamwambia msusi anipunguzie... Kuna kisherehe wiki ijayo ungenpa hata lak na nusu nikanunue kinguo chochote na themanini ya viatu nlivyonavyo naona vinanibana ni hayo tu... Duuu alafu nilitaka kusahau shost kajifungua nataka nikamuone ungenipa hata elfu arobain sio mbaya nimnunulie chochote [emoji8]
Ndo mwendokasi au utamtoa mmvi mtoto wa mwenzio
 
Mkuu......wakiwa wa bei juu si ndio yale yale?
BEI YA SOKO NI KAMA HIVI;
Kinondoni= 5000
Mwananyamala=3000
Uwanja wa Fisi=3000 mpaka 1000
Sinza=5000,10000 nk
na ukizingatia haombi vocha, soda wala hela ya kusukia. Chumba chake na zana ni zake.
Ndio maana nikasema ni salama kiuchumi lakini hatari kiafya.
 
Si aliona aibu kuchukua namba? Bas mwambie nawe unaona aibu ukituma iyo elfu 30
 
BEI YA SOKO NI KAMA HIVI;
Kinondoni= 5000
Mwananyamala=3000
Uwanja wa Fisi=3000 mpaka 1000
Sinza=5000,10000 nk
na ukizingatia haombi vocha, soda wala hela ya kusukia. Chumba chake na zana ni zake.
Ndio maana nikasema ni salama kiuchumi lakini hatari kiafya.
Aisee!!!
 
Huyu dada nimekutana nae juzi kwenye gari kuja Iringa, nikamtongoza akajishaua shaua mwisho akaniambia nimpe namba ya simu atanijibu tukishaachana stand, nikampa.

Jana akanipigia na kudai amekubali ombi langu ila alishindwa kunijibu uso kwa uso kwa madai ana aibu sana. Sasa wakuu jana hiyo hiyo usiku wakati namtafutia usingizi na vidakika vyangu vya ofa mara akaniomba elfu 30 ya kusukia. Nikaeskutiiiiiiiii, yaani leo leo tu?? Nikaona haina shida, nikamwambia nakutumia kesho, yaani leo.

Sasa tangu saa 3 asubuhi anapiga simu mfululizo kuulizia! Kwani deni? Calls zishafika 67 hapa, nimemblock namba sasa anatumia namba tofauti tofauti eti "bebi mbona kimya sasa?!", mimi huyo????

Sjamuelewa kwakweli
Hahaaahaaa ukome kuparamia hahaahaaaa bebi tuma basiiiii
 
kumbe upo iringa mkuu watoto wakinyaru mbona hawanaga mizinga rabda huyo atakuw wakichaga wapo hapa ipogoro chuo chao ndo uliokutana nao
Niko iringa mkuu,itakuwa ni mmojawao maana hadi nimeshangaa yaani kweli iringa?chuo chao kinaitwaje nije kudaka mwingine labda nitabahatisha wa bei ndogo.....ila ni visu daah!
 
BEI YA SOKO NI KAMA HIVI;
Kinondoni= 5000
Mwananyamala=3000
Uwanja wa Fisi=3000 mpaka 1000
Sinza=5000,10000 nk
na ukizingatia haombi vocha, soda wala hela ya kusukia. Chumba chake na zana ni zake.
Ndio maana nikasema ni salama kiuchumi lakini hatari kiafya.
Mweeh!
 
Back
Top Bottom