Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

Hasa nyie mnataka wanawake wanini na kugharamia huwezi,yani 30 tu una mblck je ungeombwa vikubwa zaidi ya hiyo?mjini hamna cha bure,huu mchezo hauwitaji hasira
Kwani ni biashara? Au ni bidhaa? Nini cha bure hapo...mimi nashangaa sana mkiongea maneno hayo! Yaani jamaa amgegede vizuri na mpaka msichana afurahi halafu amuongeze na pesa juu! Kwani starehe atapata mwanaume pekee? Halafu mapenzi ni mchezo wa kupeana...nipe nikupe!!! Kumpa pesa mpenzi ni maamuzi tu, ambapo yeyote anaweza kutoa bila kujali jinsia...
 
Kwani ni biashara? Au ni bidhaa? Nini cha bure hapo...mimi nashangaa sana mkiongea maneno hayo! Yaani jamaa amgegede vizuri na mpaka msichana afurahi halafu amuongeze na pesa juu! Kwani starehe atapata mwanaume pekee? Halafu mapenzi ni mchezo wa kupeana...nipe nikupe!!! Kumpa pesa mpenzi ni maamuzi tu, ambapo yeyote anaweza kutoa bila kujali jinsia...
Swadaktaa
 
Inaonyesha huyo ni dem wa mwendokasi! tit for tat. Sema mkuu jitahidi usimtumie hadi muonane tena kwanza maana hiyo tabia ya kukuomba pesa mapema kiasi hicho hata mimi sijaipenda...[emoji53]
 
yah man wakichaga hawa niwaelewa lakin inabidi uwe mjanja bando la 1500 wiki hadi wiki chuo cha tumaini kuna watoto wengi wanyumbani hapa twn banjuka nao kama vp
Tuh tuh nmekusoma sana mkuu niko miyomboni pande hizo.. aseee uko vizuri mkuu...
 
yah man wakichaga hawa niwaelewa lakin inabidi uwe mjanja bando la 1500 wiki hadi wiki chuo cha tumaini kuna watoto wengi wanyumbani hapa twn banjuka nao kama vp
Mkuu mapensho star nakusoma sana mkuu....jali sana wewe!!
 
Inaonyesha huyo ni dem wa mwendokasi! tit for tat. Sema mkuu jitahidi usimtumie hadi muonane tena kwanza maana hiyo tabia ya kukuomba pesa mapema kiasi hicho hata mimi sijaipenda...[emoji53]
Nimekukubali mkuu wangu!!
 
Back
Top Bottom