Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
- Thread starter
- #21
Hilo nalo neno,wacha nimuulizeHakuna kutuma unakula hasara kwnz ana resiti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo neno,wacha nimuulizeHakuna kutuma unakula hasara kwnz ana resiti?
ndio dawa pekee hii.hii ndio dawa pekee ya hawa wauzaji fake
Kwahyo siku hizi wenye mifuko dhaifu tukae kimya?kuweni na huruma jamaniUnatongoza wa nini wakati unajuwa mfuko wako ni wa wasiwasi;
Nime nimekupenda nitumie no yako nikurushie[emoji85]Mpe jaman Kipenda roho ula nyama mbichi si uliyataka
Daah huu ushauri wako mkuu!!!nitaleta mrejesho.We Mpe mambo yakwao yatafwata badae
Mambo!!!Vp sasa ile stori ya the girls in island season ya pili uliyoahidi kutuletea mbona kimya tenaMpe jaman Kipenda roho ula nyama mbichi si uliyataka
Hahahahahah nasubir huo mrejeshoDaah huu ushauri wako mkuu!!!nitaleta mrejesho.
[emoji55] [emoji55] [emoji55] [emoji55] kama hawa eti mkuu?nimeupokea ushauri wako.Siku nyingine tongoza anayenyoa au aliyetoka saloon siku hiyohiyo
bibi upo vizur!!Unatongoza wa nini wakati unajuwa mfuko wako ni wa wasiwasi;
Nimem PM nambaMuone mkuu screpa hapo juu amesema ana dawa yake!!
Mwenzio sina simu [emoji12] sijui itakuwajeNime nimekupenda nitumie no yako nikurushie[emoji85]
Hahahaaaaa.......wanaume wa dar??ngoja wakusikie......halafu mbona mnapenda sana pesa nyinyi watu???Akipiga mwambie hapa ni kituo cha polisi cha kati unaongea na afande marwa hahaha acheni ubahili basi wanaume wetu wa dar
Duuu Kumbe unaikumbuka very soon usijalMambo!!!Vp sasa ile stori ya the girls in island season ya pili uliyoahidi kutuletea mbona kimya tena
Nautendea kazi kikamilifu ushauri huondio dawa pekee hii.
#mamndenyiUnatongoza wa nini wakati unajuwa mfuko wako ni wa wasiwasi;