Nimeombwa rushwa ya ngono kwenye ofisi X

Nimeombwa rushwa ya ngono kwenye ofisi X

kwani hili jukwaa mpaka mahanithi wanaluhusiwa kueka thread??
 
Mnaona vinaja? Haya ndio madhara ya Daydreaming huku umeshika simu. Siku nyingine ukiwa unaota macho, hakikisha simu umeiweka pembeni at least mita 6 mbali ili kuepuka kufool kadamnasi..
 
Yaani siku hizi hata wanawake hawaoni aibu? Kweli hii dunia inaenda less sana aisee zama za zamani kusikia mwanamke ameomba rushwa ya ngono unaona kitu cha ajabu sana ila si sasa aisee inashangaza na inahuzunisha sana

Leo nimeenda ofisi X kupata huduma fulani nikamkuta mwanamke mmoja mzuri na anavutia sana. Ama hakika angekuwepo mwanaume rijali asingemchomoa ila mie ndiyo hivyo tena akawa ananizungusha sana ila baadae baada ya mimi kuwa mkali akanichana ya kwamba ananitaka kimapenzi.

Kwamba nikamuwashe dude au nimpige papuchi ndipo hitaji langu litaenda kasi ila bwana nikamkazia nikasema siwezi kufanya huo ujinga kabisa kwasababu ni kosa kutoa na kupokea rushwa full stop
Toka hapa !! Kawadanganye wadogo zako
 
Yaani unakubali kucheleweshewa huduma kwa sababu ya dushelele? Wewe jamaa ni utopolo!!!
 
Back
Top Bottom