Nimeona hapa ndo kuna shida kwa vijana wengi Tanzania

Nimeona hapa ndo kuna shida kwa vijana wengi Tanzania

Kuna coincidence, lakini pia kuna saikolojia ya "placebo effect".

Watafiti wa afya wakifanya majaribio ya dawa mpya, mara nyingi huwa na kitu kinaitwa "control group". Yani inakuwa kama dawa mpya imepatikana, na wanataka kuifanyia test, kwa mfano kuna watu 1,000 walio na ugonjwa, kati ya hao 1,000, 800 wanaweza kupewa dawa, na 200 wengine wasipewe dawa, wanapewa vidonge tu, vimekaa kama dawa, havina tofauti na dawa ukiviangalia kwa macho.Hao 200 wanakuwa "control group". Hii control group inakuwa benchmark ya kupima tofauti kati ya mtu anayepewa dawa na asiyepewa dawa.

Halafu hao 1000 wote hawaambiwi nani kapewa dawa na nani hajapewa dawa.

Sasa inaonekana mara nyingi sana, katika wale 200 ambao hawajapewa dawa, lakini hawajaambiwa kwamba hawajapewa dawa, kuna wengine wanapona kwa saikolojia ya kuamini kwamba wamepewa dawa.

Hii inaitwa "placebo effect". Placebo - Wikipedia

Sasa, inawezekana kabisa, mtu akawa kikawaida hana nguvu za kupigana, hana juhudi za kutafuta pesa, hana juhudi za kusoma, lakini akifanya kitu kama kafara, akiomba Mungu, akiloga kwa wachawi, etc, vitu ambavyo physically havina effect yoyote kwake, ila kisaikolojia vinampa imani kwamba ana nguvu fulani zaidi yake yeye mwenyewe inamsaidia, na inawezekana kabisa kwamba imani hiyo ikamuhamasisha mpaka kile kitu alicholenga kikatokea.

Kwa hiyo, hapo unaweza kuona kwamba kafara inaweza kufanya kazi kisaikolojia kumpa mtu boost fulani au placebo effect fulani.

Lakini si kwamba ile kafara imesababisha vitu viwezekane kivingine vyovyote.

I've read my Claude Levi-Strauss, siwezi kukataa moja kwa moja tu kwamba kafara, laana, uchawi etc havifanyi kazi.

Tatizo ni muktadha.

Kuna muktadha wa kisaikolojia unahusika sana.

Unaweza kukuta timu ya mpira imevunja nazi uwanjani, wapinzani wameona nazi, wameogopa wakidhani uchawi.

Woga huo unasababisha wasicheze kwa kujiamini, wakiona wanashindwa kidogo tu, wanadhani uchawi unafanya kazi.

Mwishowe wanafungwa kwa woga, wanadhani wamefungwa kwa uchawi.
Mkuu hadi control study za kwenye drug discovery unazijua??!!!..[emoji119][emoji119]

Hiyo Placebo effect pia inatumika sana kwa wanaume wanaodhani wamepungukiwa nguvu za kiume,wakati kumbe ni kuto kujiamini tu..wakifika kwa wataalamu wa afya wanapewa hiyo na wengi wao hali inakuwa nzuri

Sema nimekupata vizuri
 
Moderators mmekuwa na chuki na threads zangu.mara nyingine mnahamishia mnakojua wenyewe.tatizo nini nilitatue? Mjiweke wazi tu.

Habarini wadau. Nlikuwa na mizunguko kidogo ya kikazi.Canada,Egypt,Sweden,South Africa na Kenya.

Nipo bongo. Nmesikitika leo kukuta jamaa wanagombana sababu ya tsh 100,000 tu.hii hii ya madafu.jamaa mmoja aliazimwa pesa hiyo sasa mwaka wa pili hajarudisha na namba akachange.leo kakutana na mdai hapa M.City. Ndo ikawa Issue.

Tunakwama sana.100,000 si pesa.si pesa ya kuvunja urafiki.lakini watanzania wengi hawajui maana ya kukopa na kuomba kupewa.

Mwaka jana nlikuwa sehemu na jamaa nmemtoa out.Hotel moja ufukweni. Naye akamwita Girfriend wake mpya amwoneshe yeye matawi.nikalipia bill yangu nikawa naaga. Jamaa akashtuka maana ndo wakati huo huyo dada amekaa tu. Mimi nliona niwaachie nafasi.
Akanambia nimsubiri anisindikize.akanifuata kwenye Jeep na kuomba nimkopeshe tsh 200,000. Atanirudishia.nikavuta draw nikahesabu nikampa.

Mwisho wa mwezi nikamkumbusha jamaa.akaanza kunambia sijui alikuwa na makato mengi na hadithi nyingi sana.nilimwambia hayo sasa yanahusiana nini na pesa yangu.akaanza kucheka cheka na kudai mimi nina pesa nisimdai hiyo 200,000.nlimwambia alikopa which means anapaswa arudishe.

Akakwepa kwepa miezi ikaisha.hakurudisha.juzi nmerudi amekwama.anataka nimkopeshe tsh 1,800,000. Nikamwambia arudishe kwanza ile 200,000. Akapita siku moja ya pili akaniletea ile pesa.

Nilipopokea nikaiwapa walinzi wagawane. Akanambia sasa inakuaje lile ombi lake. Nilimjibu tu sina.

Imekuwa issue ofisini.analalamika sana kuwa nmemfanyia ubaya.ubaya wangu ni upi hapo? Anadai namiliki magari makali lakini nmemnyima mkopo mdogo tu kama huo aongezee kweye kodi.nikashangaa sana.magari ni yangu,pesa ni yangu.sijamdhulumu why anivishe ubaya?

Vijana wa tanzania tunakwama ,tunapoteza imani,tunapoteza uaminifu kwa mambo madogo.tunapenda makuu. Siku ile nimemtoa out yeye.naye anamwita girlfriend wake...huku hana pesa.why?
Mi naona hapo umeongelea kwa upande wa maisha yako kiujumla,lakini unasahahu kwamba kuna mtu anashinda asubuhi mpaka jioni kwa Tsh.2000,3000 mpaka 5000 kwa siku tu. Alafu useme pesa ya madafu hiyo laki moja mzee unakosea japo ni kweli.
 
Mkuu ile link uliyoweka ya kuandika paper na research. Kuna vitu nilipitia kisha nikaja kusimulia kwa jamaa zangu wengi waliona teknolojia hizo kama uchawi kumbe nchi zilizoendelea wamefanya tafiti hizo.
Mkuu nashukuru sana kwa ufuatiliaji wako.

Muandishi wa riwaya za kisayansi Arthur C. Clarke aliwahi kusema "any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hadi control study za kwenye drug discovery unazijua??!!!..[emoji119][emoji119]

Hiyo Placebo effect pia inatumika sana kwa wanaume wanaodhani wamepungukiwa nguvu za kiume,wakati kumbe ni kuto kujiamini tu..wakifika kwa wataalamu wa afya wanapewa hiyo na wengi wao hali inakuwa nzuri

Sema nimekupata vizuri
Haya mbona mambo ya kawaida nayasoma kwenye Newsweek, Time na The Economist tangu teenager? I did not need to pick up The Lancet or The New England Journal of Medicine for that.

This ought to be common knowledge to anybody metropolitan, literate and inquisitive enough.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
unashangaa laki? mimi juzi kuna rafiki yangu nimesoma nae sijaonana nae zaidi ya miaka 10, juzi nikapewa namba zake, katika maongezi nikamwambia nina shida ya milioni 1, sijakaa hata masaa 2 akanitumia, vipato vinatofautiana

Hata hivyo kwako Laki si Pesa
 
unashangaa laki? mimi juzi kuna rafiki yangu nimesoma nae sijaonana nae zaidi ya miaka 10, juzi nikapewa namba zake, katika maongezi nikamwambia nina shida ya milioni 1, sijakaa hata masaa 2 akanitumia, vipato vinatofautiana
Embu muambie huyo rafiki yako kuwa Bushmamy anataka million kumi
 
unashangaa laki? mimi juzi kuna rafiki yangu nimesoma nae sijaonana nae zaidi ya miaka 10, juzi nikapewa namba zake, katika maongezi nikamwambia nina shida ya milioni 1, sijakaa hata masaa 2 akanitumia, vipato vinatofautiana
Laki si pesa au sio
 
Back
Top Bottom