proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Usijejaribu mkuu utakuha kunishukurukweli tena, nabeba nguzo fresh na minazi nakwea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijejaribu mkuu utakuha kunishukurukweli tena, nabeba nguzo fresh na minazi nakwea
ntakula wapi ? mie ni fundi umeme, aka electrical technician, kubebe nguzo na kuunga nyaya freshUsijejaribu mkuu utakuha kunishukuru
Siju tatu tu ushaanza kuwa mshauri [emoji12]
Dah mimi leo naanza tena[emoji24][emoji24]
Hatari na nusu upwiru ni wakifala sana😁😁 , nmeanza tena mkuu.Mama£ Ulikuwa Mbele Yangu Father [emoji23][emoji23][emoji23]
𝐒𝐞𝐱 𝐢𝐬 𝐚𝐧 𝐢𝐥𝐥𝐮𝐬𝐬𝐢𝐨𝐧
Mm nipo siku ya 42 mpaka siku 90 zikamilike.
View attachment 2903076
Hatari na nusu upwiru ni wakifala sana[emoji16][emoji16] , nmeanza tena mkuu.
Hapo Kwa Leo Unailaani Sex.
Dah! Hongera sana mkuu.Nimevuka hadi malengo ya app ya siku 500,sijapiga nyeto wala sex
Asante Mungu kwa kuniwezesha.View attachment 2859237
Rudia Tena mkuu usife moyo. Sisi wenzio tupo tangu thread inaanzishwa, nimejitahidi sana nimeenda siku 20+.Nimerelapse wadau, inanipa mawazo
Nilikua kwenye streak nzuri tu tokea Jan 26
Nahitaji msaada kwa kweli
Piga 100 mkuuMm nipo siku ya 42 mpaka siku 90 zikamilike.
View attachment 2903076
Ni kazi sana kutoboa, Ila ukiamua inawezekana.Mzee Umekaza 42 Days Bila Kuchakata Mbususu.
Hapa Nipo Day 5 Sidhani Kama Nitatoboa Maana Naona Mali Zimeanza Kunicheck.
Yeah inawezekana, ngoja kwanza niende na hizi 90 kwanzaPiga 100 mkuu
Ni kazi sana kutoboa, Ila ukiamua inawezekana.
Me huwa napiga mazoezi ya Kukimbia Kila siku lazima nizunguke uwanja mara 7 naona yamenisaidia sana.
Kama una demu ngum kutoboa hapa lazima uachane na madem zako ujifungie kwanza mpka ukamilishe ndo utafute.
No Comment!Kwa Leo sina cha kusema mkuu
Namimi jana nilirelapse tumeanza wote mkuu
hii kuhesabu siku ni mbaya, nitatumia njia nyingineRudia Tena mkuu usife moyo. Sisi wenzio tupo tangu thread inaanzishwa, nimejitahidi sana nimeenda siku 20+.
Ila awamu hii sikubali, lazima nifike mbali