Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Mm nipo siku ya 42 mpaka siku 90 zikamilike.
Screenshot_20240213-191025.jpg
 
Mzee Umekaza 42 Days Bila Kuchakata Mbususu.

Hapa Nipo Day 5 Sidhani Kama Nitatoboa Maana Naona Mali Zimeanza Kunicheck.
Ni kazi sana kutoboa, Ila ukiamua inawezekana.

Me huwa napiga mazoezi ya Kukimbia Kila siku lazima nizunguke uwanja mara 7 naona yamenisaidia sana.

Kama una demu ngum kutoboa hapa lazima uachane na madem zako ujifungie kwanza mpka ukamilishe ndo utafute.
 
Day 6


"No Sex Nalala Mapema Nakunywa Maji Mengi" ~ T.I.D
Ni kazi sana kutoboa, Ila ukiamua inawezekana.

Me huwa napiga mazoezi ya Kukimbia Kila siku lazima nizunguke uwanja mara 7 naona yamenisaidia sana.

Kama una demu ngum kutoboa hapa lazima uachane na madem zako ujifungie kwanza mpka ukamilishe ndo utafute.
 
Back
Top Bottom