Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Mpaka kufika hapa nishapiga block wadada wawili ambao walikua wanalazimisha nivunje amri ya hii Challenge yetu.

Kimwili Siku 15 za kwanza zilikua ngumu kuvumilia ila nilishinda.

Kwa sasa napambana kiakili naona bado kuna kitu hakijakaa sawa.

Sitaki kukumbuka kabisa yale mambo ila nashangaa kumbukumbu hazifutiki.

Lengo langu ni Siku 60 ili niingie Honey moon nikiwa mtu mpya.
 

Attachments

  • Screenshot_20241124-155204.jpg
    Screenshot_20241124-155204.jpg
    148.5 KB · Views: 8
Afe kipa afe refa nataka nipige mwaka mzima. Nataka niwe karibu na Mungu wangu. Kuna mambo ya muhimu sana nataka kuyakamilisha na yanahitaji utulivu wa hali ya juu bila siteresi, gubu na usumbufu. Hela za kusuka nitakuwa natoa na hata huduma zingine lakini kula mbususu hapana
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
emoji123.png
emoji123.png
emoji123.png
Kaka ulivuka kweli?
 
Ili wiki nitatoboa kweli! Ngoja nikaze buti.
Screenshot_20241206-200114.png
 
  • Thanks
Reactions: ywf
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.

NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani aidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hii challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.



Pia soma: Tulioshindwa kuhimili makali ya 'NoFab Challenge' tukutane hapa
Ya wanawake inaitwaje?

Afu ukitoa je?
 
Nimekuwa nikisikia sana benefits za nofap.
Nataka nizishuhudie mwenyewe.
Nitaanza na miezi sita (180 days)
 

Attachments

  • Screenshot_20250312-114424_1.jpg
    Screenshot_20250312-114424_1.jpg
    291.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom