Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Mwendo mdundo ndio naanza sasa...

mpaka Tarehe 1 mwezi 1 - 2025 itakua siku 60 ndio siku rasmi naingia honey moon.
 

Attachments

  • Screenshot_20241104-210114.jpg
    Screenshot_20241104-210114.jpg
    152.7 KB · Views: 10
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.

NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani aidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hii challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.



Pia soma: Tulioshindwa kuhimili makali ya 'NoFab Challenge' tukutane hapa
Wataalam wa Afya wanatuchanganya si walisema Ukifanya sex ndio mwili na ubongo vinafanya kazi vizuri na unakuwa na afya nzuri.
 
Ngoma inatembea hii hapa..

Nipo full yaani Saa 11 jioni baada ya job naingia Gym..

Nataka Saa moja jioni.

Saa 1 hiyo na saa mbili naingia masjid..

Saa 3 nakula..

Saa 4 full body home exercise..

Saa 5 Kenfel exercise.

Saa 6 kamili naingia bed.

Saa 1 ndio kuamka

Hii ndio ratiba yangu kwa sasa naishi humo.
 

Attachments

  • Screenshot_20241105-210138.jpg
    Screenshot_20241105-210138.jpg
    151.1 KB · Views: 9
Twende kazi..

Ila hii kitu inafanya uone Siku haziaendi..

Muda wa kupambana Ndoto sasa naona Siku zinaganda 😁
 

Attachments

  • Screenshot_20241110-124731.jpg
    Screenshot_20241110-124731.jpg
    199.2 KB · Views: 7
  • Thanks
Reactions: ywf
Twende Twende twende.
 

Attachments

  • Screenshot_20241117-144554.jpg
    Screenshot_20241117-144554.jpg
    145.2 KB · Views: 6
Hatuwali tena.

Tumegundua kumbe tunajimaliza wenyewe kisha tunakufa mnabaki nyie. Tumezoea kusema aaaaah yule dem nimesha mla lakini kinyume chake sasa sisi wanaume ndo tunakuwa tumeliwa.........

Maana tunapofanya mapenzi mwanamke yeye ana GAIN wakati mwanaume ana LOSE na ndiyo maana babu yangu alikufa mwaka 1981 wakati bibi yupo mpaka leo hii. so what the hell is this!!!!!!?
Miaka ya zamani sana tulipokuwa Seminari, wanawake tulikuwa tukiwaita 'Vipunguza umri'.
 
Back
Top Bottom