Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Sex/ngono/mapenzi takes a huge chunk of our concetration and hence our energy..ukijidiscipline kuacha kwa muda.unajitoa kwenye mikanganyiko na all the fuss na stress zote za mapenzi..unakuwa mtu huru with a reserve kubwa ya energy ambayo unaweza kuidirect sehemu nyingine yenye manufaa zaidi.wanawake na matatizo yao yote wanakuwa sio kitu kwako.
 
Hatuwali tena. Tumegundua kumbe tunajimaliza wenyewe kisha tunakufa mnabaki nyie. Tumezoea kusema aaaaah yule dem nimesha mla lakini kinyume chake sasa sisi wanaume ndo tunakuwa tumeliwa......... maana tunapofanya mapenzi mwanamke yeye ana GAIN wakati mwanaume ana LOSE na ndiyo maana babu yangu alikufa mwaka 1981 wakati bibi yupo mpaka leo hii. so what the hell is this!!!!!!?
🤣🤣🤣
 
Mmfekia vyeo gani wakuu
Screenshot_20220528-070002.jpg
 
Alfajiri kabla ya kwenda kazini nshapiga bao mbili, nimepanda mwendo kasi namuona mamama mwenye tako nshaanza kumuwazia mke wangu. Ntawezaje na natamani nirudi kwa mke wangu
Kuna kitu naona hamjaeleweshwa NoFAP wanafanya hasa ambao hawataki tena maswala ya kupiga nyeto na kuangalia picha za ngono lakin unaweza kukutana na mwanamke na Semen Retention hakuna nyeti,hakuna picha za ngono na hakuna kuonana na mwanamke na hii ina faida kubwa pia madon waliofanikiwa weng walifanya hiii jaribu kufatilia lakini wewe una mke unaweza NoFAP lakini endelea kuichakata
 
Kuna kitu naona hamjaeleweshwa NoFAP wanafanya hasa ambao hawataki tena maswala ya kupiga nyeto na kuangalia picha za ngono lakin unaweza kukutana na mwanamke na Semen Retention hakuna nyeti,hakuna picha za ngono na hakuna kuonana na mwanamke na hii ina faida kubwa pia madon waliofanikiwa weng walifanya hiii jaribu kufatilia lakini wewe una mke unaweza NoFAP lakini endelea kuichakata
Umefafanua vizuri sana mzee baba yani mule mule........
 
Back
Top Bottom