Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......

NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241
Kama huna pesa ni mateso kwakweli [emoji23][emoji23]siwezi acha utamu kisa haya madude yenu
 
Hongereni vijana, hii challenge iendane na savings ya ile pesa uliyokuwa unahonga ovyo.

Ukikaa mwaka, ukiangalia savings ulizofanya....unaona faida ya kile ulichofanya. End of it una mtaji wako wa kutosha.

Sisi wengine hili linatupita, wake zetu na micheps inataka huduma zetu.
 
Wanawake bana sijui vipi... mimi jana kuna demu mmoja jirani yangu na huwa hatunaga mazoea nae kihiiivyo sasa juzi kwenye mechi ya simba na yanga akasema mpaka akaangalie huko barabarani ni mbali hivyo akaomba aangalizie kwangu...me nikamwambia karibu.a. akaja tunacheki gemu weee sasa kipindi cha pili kimeanza nashangaa mtu anaanza kukaa vibaya vibaya anatanua tanua miguu huku anaichezesha chezesha hivi, nikaanza kumzingua zungua pale mara kakubali nikapiga kimoja. nikamwambia usiku aje alale kwangu nikaitandika ku..ma balaa. Kanuharibia chalenge yangu asee.

Hapa nimeona nianze rasmi tarehe moja mwezi wa sita.
Mkuu unatuangusha. Hujui wewe ni kiongozi wetu wa nofap in tanzania??
Ni sawa na suluhu atuambie hvi nimepokea rushwa kidogo toka kwa wahisani ila msimu ujao sitapokea

Pumbafu [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naanza kesho rasmi naimani itanisaidia kwenye mambo flani flani pia yanayonikabili
 
Hongereni vijana, hii challenge iendane na savings ya ile pesa uliyokuwa unahonga ovyo.

Ukikaa mwaka, ukiangalia savings ulizofanya....unaona faida ya kile ulichofanya. End of it una mtaji wako wa kutosha.

Sisi wengine hili linatupita, wake zetu na micheps inataka huduma zetu.
Kabisa.... zile pesa nilizokuwa nachezea kisa tu nione uchi wa mtu saizi nitazitunza..... maana mimi naanza rasmi kesho tareh moja june..... na target yangu ya kwanza nikaze toka june mpaka muda kombe la dunia linaanza mwezi wa 12 mwaka huu..
 
😂😂😂😂😂😂😂 muasisi wetu anatuangusha kabisa
Daa asee juzi niliteleza kwa delila mmoja hivi ila kuanzia kesho Mungu akijaalia tarehe moja juni narudi kundini na mbinu kali sana za kijasusi na kivita.. sitakuwa na masihara hata kidogo mpaka niwe Immortal....
 
Naanza kesho rasmi naimani itanisaidia kwenye mambo flani flani pia yanayonikabili
Pamoja sana mwamba.... hata mimi naanza rasmi kesho yani nataka niuanze huo mwezi wa sita nikiwa mtu safi haswa.... na siendekezi ujinga...
 
Mkuu unatuangusha. Hujui wewe ni kiongozi wetu wa nofap in tanzania??
Ni sawa na suluhu atuambie hvi nimepokea rushwa kidogo toka kwa wahisani ila msimu ujao sitapokea

Pumbafu [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani ndugu yangu nawaahidi sitawaangusha tena.... nataka kuanzia kesho tarehe moja nianze mwezi wa sita nikiwa mtu mwingine kabisa.
Na target yangu ya kwanza kabisa ni kuanzia mwezi wa sita mpaka kombe la dunia linapoanza mwezi wa 12 ambapo katika vyeo vyetu vya iron will ukitumikia miezi sita cheo chako ni Marshal.,baada ya hapo nitaongeza tena miezi miwili ili jumla iwe miezi nane...... ambapo miezi nane kwa mujibu wa iron will unapanda cheo na kuwa Field Marshal,..........sasa baada ya kuwa Field Marshal hapo nitaanza kutafuta cheo cha The Immortal, ambacho ni miezi kumi na mbili sasa.tuombeane uzima tu.
 
Mkuu unatuangusha. Hujui wewe ni kiongozi wetu wa nofap in tanzania??
Ni sawa na suluhu atuambie hvi nimepokea rushwa kidogo toka kwa wahisani ila msimu ujao sitapokea

Pumbafu [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani acha tu ndugu yangu ila nawaahidi sitawaangusha tena.... nataka kuanzia kesho tarehe moja nianze mwezi wa sita nikiwa mtu mwingine kabisa.... na target yangu ya kwanza ni kuanzia mwezi wa sita mpaka kombe la dunia linapoanza mwezi wa 12 ambapo katika vyeo vyetu vya iron will ukitumikia miezi sita cheo chako ni Marshal., baada ya hapo nitaongeza tena miezi miwili ili jumla iwe miezi nane.. ambapo miezi nane kwa mujibu wa iron will unapanda cheo na kuwa Field Marshal, sasa baada ya kuwa Field Marshal hapo nitaanza kutafuta cheo cha The Immortal, ambacho ni miezi kumi na mbili sasa. Tuombeane uzima tu.
 
Yani ndugu yangu nawaahidi sitawaangusha tena.... nataka kuanzia kesho tarehe moja nianze mwezi wa sita nikiwa mtu mwingine kabisa.
Na target yangu ya kwanza kabisa ni kuanzia mwezi wa sita mpaka kombe la dunia linapoanza mwezi wa 12 ambapo katika vyeo vyetu vya iron will ukitumikia miezi sita cheo chako ni Marshal.,baada ya hapo nitaongeza tena miezi miwili ili jumla iwe miezi nane...... ambapo miezi nane kwa mujibu wa iron will unapanda cheo na kuwa Field Marshal,..........sasa baada ya kuwa Field Marshal hapo nitaanza kutafuta cheo cha The Immortal, ambacho ni miezi kumi na mbili sasa.tuombeane uzima tu.
Shetani : Maake hapo nicheke kwanza 😆😆😂,time will tell..
 
Yani ndugu yangu nawaahidi sitawaangusha tena.... nataka kuanzia kesho tarehe moja nianze mwezi wa sita nikiwa mtu mwingine kabisa.
Na target yangu ya kwanza kabisa ni kuanzia mwezi wa sita mpaka kombe la dunia linapoanza mwezi wa 12 ambapo katika vyeo vyetu vya iron will ukitumikia miezi sita cheo chako ni Marshal.,baada ya hapo nitaongeza tena miezi miwili ili jumla iwe miezi nane...... ambapo miezi nane kwa mujibu wa iron will unapanda cheo na kuwa Field Marshal,..........sasa baada ya kuwa Field Marshal hapo nitaanza kutafuta cheo cha The Immortal, ambacho ni miezi kumi na mbili sasa.tuombeane uzima tu.
Kuwa makini ohoooo
 
[emoji1][emoji1]
Screenshot_20220531-214403.jpg
 
Back
Top Bottom