Mifupa ya goti inaonekana kabisa sio Kama zamani goti linakuwa na nyama kiasi alaf Sasa hivi limelegea kinyama.Kwanini unayachukia magoti yako kamanda. Yamefanyaje?
66 jana, leo 67.
[emoji28]Uyo ni mimi kabisa yaan wiki tu mwili unavibrate unataka nicum kwa namna yoyoye[emoji119]
Mifupa ya goti inaonekana kabisa sio Kama zamani goti linakuwa na nyama kiasi alaf Sasa hivi limelegea kinyama.
[emoji1787] [emoji1787] Umejisifia sana ila humo humo inawezekana its a mindset game ukikubali inaenda unavyotaka ,1. Naweza kuzishinda tamaa za mwili kwa asilimia karibu zote.
2. Nimevumbua principle yangu ya ‘take it or live it’ (sibembelezi mwanamke)
3. High concetration
4. Nina uwezo wa kucontrol ndoto nyevu( nikiota nachakata naweza kuzuia kufikia mshindo)
N.k
Faida nyingine ndogo ndogo zipo na naamini pia faida nyingine zitakuja siku za mbeleni.
Ombeni msiingie majaribuni [emoji1787][emoji1787]View attachment 2293611
Namuomba mungu angalau ifike 40 days
Mpaka sasa nimeon
1.Body strenth imeongezeka, nilikuwa na tatizo la goti ila naona kama halipo
2. Kasi ya ukuaji nywele.
3.Kujiamini sana,ulaghai wa pisi wa physical appearance haunifanyi ku shake. ( Sicheki cheki na kima).
4.Hisia kuwa mjegejo strength iko high maana kila monie uko harder than before.
5.Wise in decision making.
6.Uchumi unabadilika,saving imeongezeka.
7.Naweza ku control hisia kwa kutoyumbishwa na matamanio ya macho when i remember this challenge.
8.Kama kuna kasi kismart sijui ya ku meet pisi mpya . ( Shetani buana [emoji23] as if amekaa pale ananiambia nikiweza hii challenge nimuite mbwa [emoji23])
Naomba mungu when i reach 30 days nianze na mazoezi rasmi.
Tuombeane.
Wee ni pimbi kweli... kusmama unaeza smamisha ata ukitoka kupiga moto sekunde kadhaa zilizopita.Mtumie picha ya mbooh ikiwa imesimama kweli kweli aamini.
Acha nicheke.Nipo huku tarime, aisee kuna pisi mbovu sijawahi kuona dunia nzima.. Nimeona nijiunge tu na hii challenge na nina wiki sasa, nataka nikomae mwaka mzima mpaka ntakaporudi katika mji niliouzoea.
68 days.
Ule uzi wa Nyerere una madini hatari ukisoma lazima uhamasike hapa umenikumbusha kupitia tena maana wa kitambo sana.Wakuu kazeni mm swala la uzinzi/uasherati nimeachana nalo siku mingi sana baada tu ya kusoma uzi wa member mmoja huku jf Nyenyere huyu mwamba alishusha madini sana kuhusu maswala ya kiroho pia kuna mwamba Amicus Curiae alishusha madhara ya uzinzi kwa afya ya mwili na roho hapo ndo kabisa nikaona hii kitu uzinzi ni bora kuiacha ntakufa maskini kwa kukosa baraka za Mungu
Tangu siku hiyo nilishawishika sana na nyuzi za hawa jamaa wawili wameshusha nondo za hatari sana, nikajiona nimekomboka kupitia nyuzi za hawa watu
Nakumbuka ilkuwa ni j5 nikaona niende rasmi kanisani jmos kutubu dhambi zangu ili nianze vita rasmi ya kumshinda shetani na kuipiga vita vikali hii dhambi ya uzinzi
Hii vita ni ngumu sana kwa sisi ambao tayari tulishawahi kuilamba asali,yaani ukiona demu ana chura anakatiza mbele yako unapata kiwewe mpaka miguu inatetemeka, ukiruhusu mwili ukutawale basi utajikuta dhambini
Kwa sasa mm nina miezi 5 tangu niache zinaa, uki-calculate kwa siku unaongelea 150 days, kwa wengine humu ndani ni nyingi ila kwa wengine ni siku chache, muhimu tusali wakuu, ibada ni funguo ya kila kitu,
Baada ya kukazia sala huwa kuna siku najikuta ninaota ndoto mbaya nachakata mbususu ila huwezi amini nikakarbia kukojoa nashtuka kabisa, kwamba hata kama nlkuwa na sex na pepo mchafu basi ameshindwa kuchukua mbegu zangu ambazo ni kitu muhimu sana kwa binadamu kwani zimebeba uhai/nafsi, hivyo ni rahisi mwanamke/pepo kukufanya anachotaka kupitia mbegu zako ambazo zimebeba nafsi yako, ni maswala ya kiroho zaidi yameelezewa kwa kina kwenye nyuzi za hao jamaa wawili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafundisho ya pale ni next level kwa mtu mwenye akili ya kutafakari na kuamini. Madini kama yale yangetolewa kanisani, shuleni, vyuoni ingewakomboa wengi, kuliko kuwahubiria watu kuhusu mali wakati kuna vitu vya muhimu sana kuvijua na kuviishi.Ule uzi wa Nyerere una madini hatari ukisoma lazima uhamasike hapa umenikumbusha kupitia tena maana wa kitambo sana.
Kweli kabisa ,mimi hadi niliscreenshot baadhi ya vitu mule kea kuona muhimu kurudia kusoma na watu wengi walisema ule uzi ndio uzi bora kwa mwaka ule.Mafundisho ya pale ni next level kwa mtu mwenye akili ya kutafakari na kuamini. Madini kama yale yangetolewa kanisani, shuleni, vyuoni ingewakomboa wengi, kuliko kuwahubiria watu kuhusu mali wakati kuna vitu vya muhimu sana kuvijua na kuviishi.
Sent using Jamii Forums mobile app