Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Sielewi mantiki yako ni ipi, unataka ushahidi upi? Mtu akiamua kudanganya anaweza kuleta hizo screenshot za hizo app za kuhesabu lakini bado akawa anamwaga mbegu kama kawaida. Labda kama unataka upewe location ya mkuu ili uende uwe unashinda nae 24 hours ili upate huo ushahidi.

Just be inspired and not otherwise.
Amani ya bwana iwe nawe. Samahani mkuu.
 
Exactly, Umenena vyema.
Miili yetu haijafungwa sensor ya kudetect unapomwaga mbegu ipeleke taarifa kwenye App,
Kwa hiyo hata ukimwaga mbegu still App itaendelea kukuhesabia tu no matter what ndio maana sikuona haja ya kuleta screenshot.
Sawa sawa mkuu, as long as uko true to you. Hatuwezi jua... lakini ni vizuri kuona kwamba intention yako ni njema. Kwa mantiki iyo basi niwie radhi.... eeeeeh!
Na leo itakuwa siku ya ngapi? 🤔🤔🤔 kuuliza tu.
 
It won’t change a thing, jukwaa si lako na wewe sio muanzisha uzi.

Siangushi takwimu ili wewe peke yako uone, kuna wenzako ninakwenda nao nchi ya ahadi na kwa kuangusha takwimu nawapa moyo kuwa inawezekana.

Isipokupendeza wewe haimananishi kila mtu haitampendeza.

Naishia hapa.
Mtumie picha ya mbooh ikiwa imesimama kweli kweli aamini.
 
Katika pitapita huko mtandaoni kuna bandiko nimelikuta sehemu mimi kama muhanga wa haya makitu aisee limeniinspire sana, tena saana sio kidogo.Nikaona nishee nanyi.

Bango hilo inasema PORN AND MASTURBATION IS FREE BECAUSE YOU PAY WITH YOUR SOUL. Duuuh…. Ukiyatafakari ni maneno mazito sana haya.
[emoji848][emoji848]
 
Ninafanya haya kwa ajili yangu, peke yangu, sioni tija ya kukuonyesha ushahidi kwamba nimepambana siku 64 and counting…..

Haitabadilisha kitu kama nikukupa au nisipokupa.

Uzi huu umenisadia kutimiza azma yangu, kwa ajili yangu.

Tunaokwenda pamoja, let us keep pushing [emoji1487][emoji1487]


Satisfied?
Tupe changamoto tunaoanza mkuu ..maana leo ndo cku yangu ya nne
 
Back
Top Bottom