dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hapana, siwezi compromise carrier yangu kwa mtu baki nnayekutana naye ukubwaniwa hiyo unataka kusema waliooa wote Wana hayo matatizo ?
Ili uweze kustahimili una hitaji[emoji116]uliwezaje mzee saidia wana hili pepo litatumaliza
Komaa kuwa busy ikiwezekana badili marafiki. Kuwa na marafiki ambao mnadiscuss maisha in gerneral na activities za maendeleo. Sijisifu lakini hii kitu imanipa uwezo mkubwa sana kitandani.Hali n tete mkuu
Bado sijasaliti challenge mkuu matunda nayaonaKomaa kuwa busy ikiwezekana badili marafiki. Kuwa na marafiki ambao mnadiscuss maisha in gerneral na activities za maendeleo. Sijisifu lakini hii kitu imanipa uwezo mkubwa sana kitandani.
Ebwana safi, hebu fafanua kidogo uwezo umeongezeka kiasi gani tafauti na ilivyokuwa hapo kabla.....!!!Komaa kuwa busy ikiwezekana badili marafiki. Kuwa na marafiki ambao mnadiscuss maisha in gerneral na activities za maendeleo. Sijisifu lakini hii kitu imanipa uwezo mkubwa sana kitandani.
Hii app inaitwajeRound ya kwanza nilienda Miezi Tisa No Sex No
Masterbution No Porno.
Round ya Pili hapo chini.
My goal is to hit a whole year. No faps
View attachment 2846827
[emoji1787][emoji1787]Hii challenge ni ya wa watu walio hasiwa
Imekusaidia au imekuongezea kutuHii challenge ilifanya niache Bakari Nondo nikahamia kwa madem nakung'uta balaa kila siku yaani kwa mwezi naweza sex siku 26-27
Kwakweli imenisaidia MasterB inamadhara sana kwanza ndonga ilikuwa inasimama kichovu sana lakini sahivi nipo fine na hata nikipiz naweza kuunga, pia confidence imeongezeka kiasi kwamba hata wanawake walionizidi umri naona nawaweza kwenye show apa nilichopungukiwa ni pumzi tu ambayo inabidi nifanye sana mazoezi niiongeze..Imekusaidia au imekuongezea kutu
Hapo sawa, sasa kazana na pushup,situps, run nk kuongeza pumziKwakweli imenisaidia MasterB inamadhara sana kwanza ndonga ilikuwa inasimama kichovu sana lakini sahivi nipo fine na hata nikipiz naweza kuunga, pia confidence imeongezeka kiasi kwamba hata wanawake walionizidi umri naona nawaweza kwenye show apa nilichopungukiwa ni pumzi tu ambayo inabidi nifanye sana mazoezi niiongeze..
MasterB ndo kitu jau sana yaani pambana mtu uweze kuiacha
Kabisa nina plan ya kuanza mazoezi, pia uwa natumia kitunguu saumu asubuh pia maji nakunywa sana kwa kiwango kikubwa naiona improvement maana nilipotoka ilikuwa ni masterB kwa sana yaani ilifika Kipindi usiku lazima nishtuke nipige ata viwili ndo ntalala vizuri(msongo wa mawazo)Hapo sawa, sasa kazana na pushup,situps, run nk kuongeza pumzi
Mimi nipo fiti sana labda kwa kuwa sichepuki, mtanange wangu wife huwa anakimbia kabisa, akimaliza anakua kama anatafakari ila ni uchovu, anasema nampania sana kumbe wala ni vyakula, zoezi na kutotumia masterb