Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Sasa hii challenge na hawa wanawake watatuelewa kweli? Watasema tunacheat au tunawatafutia sababu.
 
Inawezekana nilikosa muda wa kuchangia hapa

Zingatia mazoezi....
Epuka matumizi ya pombe kali, ukilewa tu unajikuta umeshaharibu
Fanya Ibada View attachment 2252724
Ebanaeee umekaza ile ile mzee na uko mbali balaa tuombee kwa baba aliye juu nasi tufike huko, naona bado kidogo sana uwe field marshal mtaalm... Sasa kuna watu wanashauri eti tusile msosi wa kushiba....... sababu wewe ni mmoja kati ya waliofika mbali kwa hii challenge je na wewe kutokushiba msosi ndiyo mbinu uliyoitumia mpaka kusurvive siku zote hizo..!?? Hebu tuchane mwamba.
 
Nimefeli.. nilijikuta namuona kila mwanamke ni mzuri[emoji23][emoji23][emoji23]
Usijali utasimama tenaa... vipi ulifika chungu cha ngapi mtaalam mpaka ukaanza kuona hali hiyo..... inaelekea kuna manzi ulimwita geto.
 
Wew kwahyo dp yko hautafika popote[emoji28][emoji3]
Watu tupo chungu cha sita saizi. Huyo mwamba ndiyo role model wangu na niliacha kuangalia pande ile mara tu alipostaafu nami nikaacha kabisa kuwa muumini wa kule maeneo pendwa.
 
Ikaushie na mbasusu kwa muda mzee baba ukitoka huko unakuwa kama mjeda aliyetoka vitani alafu ndo anamuona wife sasa hilo libeneke lake man lazima manzi awehuke. we ikaushie mbasusu kwanza.
Kwahiy demu wangu namwambiaje ??? Hapo ni sawasawa na kumruhusu akagongwe na wauni wengine, mimi naacha nyeto tuuh
 
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.

NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241
Ni idea nzuri but inakunyima haki zako za msingi sperms was never made tu be stored mkuu
Mbegu zilitengenezwa ili zitoke hakikisha zinatoka in any means [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Usijali utasimama tenaa... vipi ulifika chungu cha ngapi mtaalam mpaka ukaanza kuona hali hiyo..... inaelekea kuna manzi ulimwita geto.
Miezi miwili..kuna manzi nilitokanae tuakaenda beach kilichofuata kesho yake genye zilipanda mpaka nikapigia simu maEx [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..

Sasa imebidi nizipunguze kwa ex mmoja.. sema show ilivyoenda score za mwanzo ziliwahi sana mpaka manzi akachukia


Nikamwambia atulie hizo zilikuwa ni warm-ups tuu.. baada ya hapo alifurahi mbona[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni idea nzuri but inakunyima haki zako za msingi sperms was never made tu be stored mkuu
Mbegu zilitengenezwa ili zitoke hakikisha zinatoka in any means [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha hiyo ni mindset tu... yani kama wewe umejiwejea akilini kwamba mbegu ni lazima zitoke by any means utazitoa tu mpaka ziishe uanze kutoka upepo tu mzeebaba ila mimi nimeshajua umuhimu wa kutozitoatoa hovyo ndiyo maana niko deep to this one..
 
Miezi miwili..kuna manzi nilitokanae tuakaenda beach kilichofuata kesho yake genye zilipanda mpaka nikapigia simu maEx [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..

Sasa imebidi nizipunguze kwa ex mmoja.. sema show ilivyoenda score za mwanzo ziliwahi sana mpaka manzi akachukia


Nikamwambia atulie hizo zilikuwa ni warm-ups tuu.. baada ya hapo alifurahi mbona[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo mtaalam.. Tupe update... score za mwanzo mwanzo ngapi zilienda fasta.?

Natumai hukutuangusha memba wa hii challenge, ukianguka unaanguka kwa kishindo na ukirudi kundini unarudi kwa kishindo kikuu vilevile..... Pamoja na kwamba huyo ex alisababisha anguko lako ila natumai ulimkamua vilivyo mpaka akahisi anapigwa mtungo na njemba nne kumbe ni njemba moja tu.

Tunakukaribusha tena kundini kwa moyo mkunjufu..... Once again... welcome home mzeebaba.
 
Back
Top Bottom