Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Unakimbia sana[emoji1787]Day 13 [emoji91][emoji91]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakimbia sana[emoji1787]Day 13 [emoji91][emoji91]
Safari ni ndefuuuUnakimbia sana[emoji1787]
Hahah.. hay mkuu kila la kheri[emoji3]Watu tupo chungu cha sita saizi.
huyo mwamba ndiyo role model wangu na niliacha kuangalia pande ile mara tu alipostaafu nami nikaacha kabisa kuwa muumini wa kule maeneo pendwa.
Safari imeshaanza ni lazima tufike nchi ya ahadiSafari ni ndefuuuView attachment 2253601
PoleMimi nimeshatoka kwenye kinyang'anyiro
Pole mzee, share with us ilikuwaje ?Mimi nimeshatoka kwenye kinyang'anyiro
Ilikuwa ni ijumaa nimetokazangu job. Nikapita sehemu na washakaji nikagida migido ya kutosha. (Heineken zine genye flani hivi) nimefika zangu home kama saa sita usiku nikamkuta wife amenipokea kwa bashasha. Sijui nae alimis dude. Basi ndo vile tena mambo ya kiutu uzima yakaendelea.Pole mzee, share with us ilikuwaje ?
Tatuuu..[emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo mtaalam.. Tupe update... score za mwanzo mwanzo ngapi zilienda fasta.?
Natumai hukutuangusha memba wa hii challenge, ukianguka unaanguka kwa kishindo na ukirudi kundini unarudi kwa kishindo kikuu vilevile..... Pamoja na kwamba huyo ex alisababisha anguko lako ila natumai ulimkamua vilivyo mpaka akahisi anapigwa mtungo na njemba nne kumbe ni njemba moja tu.
Tunakukaribusha tena kundini kwa moyo mkunjufu..... Once again... welcome home mzeebaba.
Sikuuza mechi.. Ex alisema sababu inamfanya ashindwe kuniacha ni hiyo hakuna kingine[emoji23][emoji23]Ndiyo mtaalam.. Tupe update... score za mwanzo mwanzo ngapi zilienda fasta.?
Natumai hukutuangusha memba wa hii challenge, ukianguka unaanguka kwa kishindo na ukirudi kundini unarudi kwa kishindo kikuu vilevile..... Pamoja na kwamba huyo ex alisababisha anguko lako ila natumai ulimkamua vilivyo mpaka akahisi anapigwa mtungo na njemba nne kumbe ni njemba moja tu.
Tunakukaribusha tena kundini kwa moyo mkunjufu..... Once again... welcome home mzeebaba.
🔥Inawezekana nilikosa muda wa kuchangia hapa
Zingatia mazoezi....
Epuka matumizi ya pombe kali, ukilewa tu unajikuta umeshaharibu
Fanya Ibada View attachment 2252724
Hiyo ya ndoto nyevu ni naturally so haiaffect challenge... kwa no fap family wanaita NightfallHizo Challenge hazifanyagi kazi,
Unaweza ukaamka asubuh ,ukijikuta umejiachia
Fata falsafa za Yesu - hata maisha yote unaweza kukaa bila kiu ya hayo mambo
Sema kama umeona aisee mi sishauri Sana kuwa kwenye hii challengeIlikuwa ni ijumaa nimetokazangu job. Nikapita sehemu na washakaji nikagida migido ya kutosha. (Heineken zine genye flani hivi) nimefika zangu home kama saa sita usiku nikamkuta wife amenipokea kwa bashasha. Sijui nae alimis dude. Basi ndo vile tena mambo ya kiutu uzima yakaendelea.
Unaanza upya endapo ukichachuaWakuu hivi hiyo noFAP unapotumia app, kwani huwezi kuchit, yaani uchachue then iendelee kucount? Au inakubana