martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 735
- 1,552
5 dayzzzPole mzee, share with us ilikuwaje ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5 dayzzzPole mzee, share with us ilikuwaje ?
Cheo
Kitendo Cha kumwaga tuhiyo ya ndoto nyevu ni naturally so haiaffect challenge... kwa no fap family wanaita Nightfall
Sometimes dini zinawafumba macho..Kitendo Cha kumwaga tu
Ni kitendo unarudi kuwa weak,
Na hata concentration inapungua na mawazo pia.
Ila unapotumia muda mwingi ktk kusali na kusoma Biblia , lile pepo la tamaa halijagi usiku
Vp , kwa wanaombewa magonjwa yasiyo tibika na yakapona.Sometimes dini zinawafumba macho..
Sasa wet dreams na mapepo wap na wap...
Wet dream tendo la kawaida tu kwa mwanaume anaezalisha mbegu na hajazitoa muda mrefu so zinatoka zenyew
Vizuri japo mtihaniiikVipi mlioanza challenge mnaendeleaje huko
Mnakosea Sana,Mambo mawili..
1. Mjamzito( kwa kitumbo chake si vema kuchovya na hizi kukurukakara zangu)
2. Yupo dom nipo dar(kesho naweza kwenda kumjulia hali)
Mzee mwenzangu we mtu mzima, ushalea mimba, hii mimba sio ya kumpelekea moto hata kidoogo.Mnakosea Sana,
Mwanamke akiwa mjamzito peleka Sana Moto, itamsaidia wkt wa kujifungua.
Moto wangu mimi sio wa kupelekea mama mjamzito yoyote yule, sasa huyu wangu mimi ndio kabisa, ni kuchovya chovya tu na sio kumpelekea motoMnakosea Sana,
Mwanamke akiwa mjamzito peleka Sana Moto, itamsaidia wkt wa kujifungua.
Leta umuhimu hiyo kwa afya ya ubongo gomesHahaha hiyo ni mindset tu... yani kama wewe umejiwejea akilini kwamba mbegu ni lazima zitoke by any means utazitoa tu mpaka ziishe uanze kutoka upepo tu mzeebaba ila mimi nimeshajua umuhimu wa kutozitoatoa hovyo ndiyo maana niko deep to this one..
Hebu nipe maswali labda naweza patia majibuVizuri japo mtihaniiik
Unajiunga kwenye nofap ula hujui maana ake umefata mkumbo tuIlikuwa ni ijumaa nimetokazangu job. Nikapita sehemu na washakaji nikagida migido ya kutosha. (Heineken zine genye flani hivi) nimefika zangu home kama saa sita usiku nikamkuta wife amenipokea kwa bashasha. Sijui nae alimis dude. Basi ndo vile tena mambo ya kiutu uzima yakaendelea.
Sasa kwenye wet dream akili inafikaje mwisho..Vp , kwa wanaombewa magonjwa yasiyo tibika na yakapona.
Sio kila mahali unatumia akili, Kuna sehemu Akili zinafika mwisho. Tambua nyakati
Nadhani hukuelewa conceptUnajiunga kwenye nofap ula hujui maana ake umefata mkumbo tu
Watu wanafanya hii ili kujinasua kuangalia porn na kupiga nyeto ila mapenzi kwa njia ya kukutana na mwanamke unafanya kam kawaida
Kaa nayo mzeeUmepata connection mpya ya Gigi Money?
Keep goingMm nilijiunga tangu nilipo uwona huu uzi now nipo apo nataka niende miezi 5View attachment 2255539View attachment 2255541