Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Kaka usipoejaculate c unaweza gonga hata masaa sita maana utamu wa hapo utotaka kuacha labda manzi mwenyewe akutoe kwa nguvu
Ndo hivyo ila sana uwe na pumzi ya kutosha na kuna kuwa na break mnapumzika mnaanza tena...unaorgasm lakini hauejaculate...orgasm na ejaculation ni vitendo vinavyofuatana kwa kupushana sekunde chache...ukiweza kutenganganisha unakuwa mwamba kamili
 
Ni hatari ndugu. unajua leo naamka ile asubuhi nikakuta mashine iko winga moja matata sana nikashindwa kuhimili muhemko.

Nikasema wacha nizame xvideos sasa maana nina vpn, Nikacheki porn wee kama lisaa limoja hivi nikasema sasa wacha nijilipue na puli moja safi kabisa kwajili ya kujipongeza kwa kukaa wiki mbili bila kupiga puli, kucheki porn wala kumwaga mbegu kokote. Ile nataka kupiga tu puli nikajiuliza sana kwamba huu utakuwa ni ujinga wa aina gani sasa?

Nilijiapiza mwenyewe kwamba naanza hii chalenge na hatimae nikatimiza wiki mbili alafu leo kirahisi rahisi tu nijichafue? Ikanibidi nikaangalie video za machinjachija sasa wale wa bokoharam ili zinikate muhemko na nikafanikiwa duuh. Ila naendelea kukazaa.

Vipi kwa kucheki porn leo kwa bahat mbaya nitakuwa nimeharibu au kutoka nje ya mstari????

Sirudii tena asee namuomba sana Mungu shetani wa porn na puli anipitie mbali kabisa yani. Ni addiction moja mbaya sana.
Mzee wa machinjachinja[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na sirudii tena.

Unajua hii chalenge ndiyo imenifanya nijoin JamiiForum rasmi coz kwa muda flani uliopita nilikua naisoma kama guest ingawa toka nianze chalenge ni wiki ya pili saizi na leo yani ilibaki kidogo tu nipige puli ila nina video kadhaa za bokoharam huko nigeria wanachinja watu live mtu anakatwa kichwa mpaka kinatoka chote kabisa (Tanzania nchi ya amani sana, omba usikutane na wale watu duuuh!!!!).
Kuna mama mmoja yuko hapo wenzie wemechinjwa wote wamewekwa pembeni hapo huku akiona yeye akawa wa mwisho wakamwambia lala chini mama wawatu akalala naye wakamchinja vilevile kama kuku mazee, sasa nikionaga ile video tu huwa inanihuzunisha balaaa, na nikiona tu napata muhemko kama huo wa nyege nyege fasta naenda kuziangalia zile video na zinanikata stimu kabisaaa, ilikuwa leo asubuhi iyo nikapona kupiga puli kawa njia hiyo nikaleave fasta pornsite kisha nikazifungua zile video za bokoharam zikanikata stimu mazima ndiyo ikawa ponapona hiyo. Ila naamini kuna hatua nimepiga coz zamani ilikuwa nikicheki porn tu lazima nipige nyeto ila leo chalenge imeniokoa mazee, kwangu naamini huo ni mwanzo mzuri wa kuacha kutazama porn.
Wajuba mna roho ngumu,unawezaje kuangalia video kama hizo?!??..
 
Kama unahitaji nakupatia kiongozi, ni wewe tu.
Ndo hivyo ila sana uwe na pumzi ya kutosha na kuna kuwa na break mnapumzika mnaanza tena...unaorgasm lakini hauejaculate...orgasm na ejaculation ni vitendo vinavyofuatana kwa kupushana sekunde chache...ukiweza kutenganganisha unakuwa mwamba kamili
Ebu nipe utofauti kati ya Orgasm na Ejaculate
 
Hhhaha sasa subir wapo watataka uwakule kat ya hao madem maana wanavutiwa na mtu asiekuwa na shobo ningeandika apa psychology yao ilivo ila itakuwa kuanzisha uzi juu ya uzi ila elewa ndomaan ukiwa kweny nofap au semen retention kuanzia siku ya 14 warembo unawavutia maana una kuwa na high vibration na hata watu wasiokujua wanakutreat good pia confidence yako ndo unakuta inashangaza watu na kuwavutia pia eye contact
Nimekudm kiongoz natama kujua zaid yuu ya psychology yao
 
Wakati mwingine ukisema uende mwenyewe utafeli inabidi umtangulize Mwenyezi Mungu kwanza kwa kila jambo na hatua hata kutoa sadaka kidogo hata kuwapa watoto vipipi kwa kupiga hatua kama Shukrani .

Mimi nilianza kibishi nikatoboa miezi kama sita hivi basi nikajiona bonge la mwamba kibri kikawa juu nikajiona shetani haniwezi tena na hakuna mahala nitakapokamatika maana nina upiga mwingi.

Kuna siku mdau wangu nilimuazima simu yangu alitumia baada ya muda akanirejeshea , sasa nipo ghetto nimeingia upande wa video nikaona kitu kigeni nikajiuliza ni nini ngoja nikaclick chap ikaja porno kumbe mchizi alikuwa anachrki Moja alidownload na akasahau kuifuta dah! shatani alinizidi nguvu na arosto ilikuwa kubwa basi kulikuwa na wese pembeni nikasema ngoja nijiongeze chap maana siwezi kuwatch bila kustua .

Siku hiyo nilipiga hiyo kitu kwa ufanisi mkubwa sijawahi kupiga masterbation ya kiwango cha Fifa tokea nizaliwe kama ya kiwango kile wazungu wazito kama wamelamba asali. Baada ya kumaliza nilijuta kinyama jitihada zangu za miezi 6 kukatika kwa muda mfupi nilijiona bonge la boya nikamlani mchizi ile mbaya nikajipa moyo nikasema kujilaumu hakutosaidia ngoja nianze kweli kwa vile wiki ijayo ni mwezi wa Ramadhani unaandika tarehe ramsi ya kuanza na natubu kila kitu pamoja na kumtangiliza Mungu na dua nyingi ile mentality ya kujikweza mimi mwamba nikaitoa kauli yangu ikawa"Hakuna uwezo wa kuepuka maovu wala nguvu ya kufanya mema isipokuwa kupita Mwenyezi Mungu muwezawa yote" pamoja na hilo mimi mwenyewe nikajiwekea mikakati madhubuti ya kutoboa.

Tokea hapo mpk sasa nakaribia mwaka wa tatu hali hii nimeizoea kabisa na faida naziona muda si mrefu nakaribia kuvuta jiko.
 
Pia unaseve nguvu ya uumbaji iliyopo ndani yako , ukichanganya na spiritual meditation itakusaidia itakurudishia nguvu zako za asili mfano nguvu ya machale , nguvu ya kukontrol mazingira , nguvu ya kujiponya, nguvu ya kusma akili ya mtu , na mengne mengi.
 
Huyo Nikola Tesla pamoja na hayo yote na bado amekufa, yaani nyie waTZ mtakuja kuiga na vitu vingine visivyo na msingi, we ingesema unataka kupunguza sex labda mala moja Kwa mwezi sawa, kwanza hapa ngoja nimpigie Nasma mtoto wa ki-Iraq aje hapa tufanye yetu
Kwan nan kakuambia kufa ni tatizo?
 
we duniani hakuna starehe kama kut...b.na.
Shida za ulimwegu zote hizi bado niongeze na shida ya kuzuia mwili kufanya kazi yake.
Yani watu wanajifanya kama wa wana akili kuliko Mungu.
Asingeweka basi hivi viungo ili huo mwili ujitegenezee hizo stamina sijui confidence.
Yani kila kitu has sababu ya kuwepo mwilini.
Tendo la ndoa ni for creation and recreation.
Sasa huo mwaka sijui wa kutafyta cheo cha 'IMMORTAL' hizi sehemu zinakuwa na kazi gani?
And come to think of it, hata the highest rank unapata cheo cha ''SIO KIUMBE''
Meaning huo mchakato sio wa kibinadamu, why shud we then engage kwenye vitu vivyo vya kibinadamu?
We mi nakwambia mtu atalala makao makuu ya Jamii Forum.
Haki vile.
Kma unafanya fanya hamna aliekuzuia siwezi mwaga mbegu ovyo ovyo hi challenge sasa nina miezi nane nafanya
 
Kma unafanya fanya hamna aliekuzuia siwezi mwaga mbegu ovyo ovyo hi challenge sasa nina miezi nane nafanya
Hongera mkuu, kwani huna mke au dem na kama huna huna hivyo vyote viwili unategemea kuendelea na hii chalenge mpaka lini
 
Back
Top Bottom