Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Wakati mwingine ukisema uende mwenyewe utafeli inabidi umtangulize Mwenyezi Mungu kwanza kwa kila jambo na hatua hata kutoa sadaka kidogo hata kuwapa watoto vipipi kwa kupiga hatua kama Shukrani .

Mimi nilianza kibishi nikatoboa miezi kama sita hivi basi nikajiona bonge la mwamba kibri kikawa juu nikajiona shetani haniwezi tena na hakuna mahala nitakapokamatika maana nina upiga mwingi.

Kuna siku mdau wangu nilimuazima simu yangu alitumia baada ya muda akanirejeshea , sasa nipo ghetto nimeingia upande wa video nikaona kitu kigeni nikajiuliza ni nini ngoja nikaclick chap ikaja porno kumbe mchizi alikuwa anachrki Moja alidownload na akasahau kuifuta dah! shatani alinizidi nguvu na arosto ilikuwa kubwa basi kulikuwa na wese pembeni nikasema ngoja nijiongeze chap maana siwezi kuwatch bila kustua .

Siku hiyo nilipiga hiyo kitu kwa ufanisi mkubwa sijawahi kupiga masterbation ya kiwango cha Fifa tokea nizaliwe kama ya kiwango kile wazungu wazito kama wamelamba asali. Baada ya kumaliza nilijuta kinyama jitihada zangu za miezi 6 kukatika kwa muda mfupi nilijiona bonge la boya nikamlani mchizi ile mbaya nikajipa moyo nikasema kujilaumu hakutosaidia ngoja nianze kweli kwa vile wiki ijayo ni mwezi wa Ramadhani unaandika tarehe ramsi ya kuanza na natubu kila kitu pamoja na kumtangiliza Mungu na dua nyingi ile mentality ya kujikweza mimi mwamba nikaitoa kauli yangu ikawa"Hakuna uwezo wa kuepuka maovu wala nguvu ya kufanya mema isipokuwa kupita Mwenyezi Mungu muwezawa yote" pamoja na hilo mimi mwenyewe nikajiwekea mikakati madhubuti ya kutoboa.

Tokea hapo mpk sasa nakaribia mwaka wa tatu hali hii nimeizoea kabisa na faida naziona muda si mrefu nakaribia kuvuta jiko
Daah..mkuu nimecheka sana kiukweli hii chalenge ni ngumu bila kudra za Mungu uwezi, ukishafungua porn sites bac jua umekwisha lazima utapiga bao la mkono tu maana nguvu ya kujizuia ina kuwa ndogo halafu baada ya kuutupa bac utajilaumu siku nzima halafu labda ukute ushakimbiza kama mwezi ujapiga mambo halafu tena leo unaanza moja hapo ndipo utapozidi kuishiwa nguvu.
 
Mungu akasimame nami... Kuanzia July 01, nahamia rasmi kwenye simu ya kiswaswadu


Nahitaji healing ya takribani miezi 3-6


Nikiona nimeweza nitaacha rasmi moja kwa moja

Maombi yenu wadau....

Naenda kuimisi JF, WhatsApp na mitandao yote ya kijamii....

From 1 July 2022 tutakutana hapo wakati mwingine
 
Mungu akasimame nami... Kuanzia July 01, nahamia rasmi kwenye simu ya kiswaswadu


Nahitaji healing ya takribani miezi 3-6


Nikiona nimeweza nitaacha rasmi moja kwa moja

Maombi yenu wadau....

Naenda kuimisi JF, WhatsApp na mitandao yote ya kijamii....

From 1 July 2022 tutakutana hapo wakati mwingine
Kuanzia miezi mitatu hapo lazima utakuwa mkomavu na itakuwa ngumu sana kurudi chama ovu.Mapambano mema usisahau kurudi na mrejesho
 
Mtandao wa Wikihow unasaidia sana una nondoz nyingi ya maswala ya saikolojia na emotions . Hata nilivyoanza hii kampeni kuna baadhi ya nondo za nilichukua huko ili kujiweka imara zaidi pale katika kila jambo wewe type kwenye search button "How to ....." unakutana na details za uhakika kutoka kwa wataalamu mbalimbali.
 
Daah..mkuu nimecheka sana kiukweli hii chalenge ni ngumu bila kudra za Mungu uwezi, ukishafungua porn sites bac jua umekwisha lazima utapiga bao la mkono tu maana nguvu ya kujizuia ina kuwa ndogo halafu baada ya kuutupa bac utajilaumu siku nzima halafu labda ukute ushakimbiza kama mwezi ujapiga mambo halafu tena leo unaanza moja hapo ndipo utapozidi kuishiwa nguvu.
Kabisa mkuu , ndo hivyo ukishindwa unakuja na mbinu pamoja na mikakati mipya na kujipa matumaini .
 
Mbona uzi umejaa wapiga nyeto kuliko wafanya ngono?

Kama mnajitahidi kuondokana na urahibu wa nyeto nawaunga mkono. Ila kama mnataka muondokane na kut*mba siwaungi mkono. Sasa dudv linakua na kazi gani? Kukojoa au ni nini? Yani mtu una mwanamke ndani unamkazia kumpa haki yake ???

Halafu pia muondoke kule kwenye uzi wa kula kimaskhara maana ule nao ni shetani kama kuangalia porn.

Nili unsubscribe maana kila nilikua nikiusoma akili inahama natamani mbunye...

The only thing nimefanikiwa kwenye ngon& ni kuacha kutembea na wanawake wengi. I only fvck my chicks....
 
Mtu ukiishiwa unakuwa na mipango miingi, subiri upate pesa kama utaikumbuka hiyo Nofap
Bro sema huna hela sio Nofap wala nini
 
Hhhaha sasa subir wapo watataka uwakule kat ya hao madem maana wanavutiwa na mtu asiekuwa na shobo ningeandika apa psychology yao ilivo ila itakuwa kuanzisha uzi juu ya uzi ila elewa ndomaan ukiwa kweny nofap au semen retention kuanzia siku ya 14 warembo unawavutia maana una kuwa na high vibration na hata watu wasiokujua wanakutreat good pia confidence yako ndo unakuta inashangaza watu na kuwavutia pia eye contact
Nakubaliana nawe kabisa
 
Wakati mwingine ukisema uende mwenyewe utafeli inabidi umtangulize Mwenyezi Mungu kwanza kwa kila jambo na hatua hata kutoa sadaka kidogo hata kuwapa watoto vipipi kwa kupiga hatua kama Shukrani .

Mimi nilianza kibishi nikatoboa miezi kama sita hivi basi nikajiona bonge la mwamba kibri kikawa juu nikajiona shetani haniwezi tena na hakuna mahala nitakapokamatika maana nina upiga mwingi.

Kuna siku mdau wangu nilimuazima simu yangu alitumia baada ya muda akanirejeshea , sasa nipo ghetto nimeingia upande wa video nikaona kitu kigeni nikajiuliza ni nini ngoja nikaclick chap ikaja porno kumbe mchizi alikuwa anachrki Moja alidownload na akasahau kuifuta dah! shatani alinizidi nguvu na arosto ilikuwa kubwa basi kulikuwa na wese pembeni nikasema ngoja nijiongeze chap maana siwezi kuwatch bila kustua .

Siku hiyo nilipiga hiyo kitu kwa ufanisi mkubwa sijawahi kupiga masterbation ya kiwango cha Fifa tokea nizaliwe kama ya kiwango kile wazungu wazito kama wamelamba asali. Baada ya kumaliza nilijuta kinyama jitihada zangu za miezi 6 kukatika kwa muda mfupi nilijiona bonge la boya nikamlani mchizi ile mbaya nikajipa moyo nikasema kujilaumu hakutosaidia ngoja nianze kweli kwa vile wiki ijayo ni mwezi wa Ramadhani unaandika tarehe ramsi ya kuanza na natubu kila kitu pamoja na kumtangiliza Mungu na dua nyingi ile mentality ya kujikweza mimi mwamba nikaitoa kauli yangu ikawa"Hakuna uwezo wa kuepuka maovu wala nguvu ya kufanya mema isipokuwa kupita Mwenyezi Mungu muwezawa yote" pamoja na hilo mimi mwenyewe nikajiwekea mikakati madhubuti ya kutoboa.

Tokea hapo mpk sasa nakaribia mwaka wa tatu hali hii nimeizoea kabisa na faida naziona muda si mrefu nakaribia kuvuta jiko.
Duh mwamba upo vizuri mwaka wa tatu sasa? Faida ni kama zipi tangu umeanza kufanya hii program
 
Pia unaseve nguvu ya uumbaji iliyopo ndani yako , ukichanganya na spiritual meditation itakusaidia itakurudishia nguvu zako za asili mfano nguvu ya machale , nguvu ya kukontrol mazingira , nguvu ya kujiponya, nguvu ya kusma akili ya mtu , na mengne mengi.
Meditation [emoji3286] sijawahi Fanya hivi huwa mnafanikiwa kuifanya naonaga ni kazi
 
Kuna clip fulani hivi kuna jamaaa amevua nguo zote kamshikilia punda kamuingizia kitu anamla punda na alikua anapump balaa nikasema kuna watu wana uchu balaa
 
Kma unafanya fanya hamna aliekuzuia siwezi mwaga mbegu ovyo ovyo hi challenge sasa nina miezi nane nafanya
Ndani ya miezi nane hupati shida yoyote, ndoto zile za kugegeda
 
Back
Top Bottom