Mkuu miaka 3 bila nyeto wala sex acha kutudanganyaNi vyote kwa pamoja , tena wakati nataka kuanza nikasema ngoja nitest mitambo kwa demu mmoja mzuri kila idara alikuwa kama Wema kwa mtaa wetu kila mtu anatamani kuwa nae kwa gharama yeyote ile nikasema ngoja niende kama akikubali itakuwa kheri anikataa itanipa hasira ya kuwachukia wanawake na kufocous kwenye mambo ya msingi na kutafuta hela .
Kwa jinsi anavyojikuta nilikuwa na uhakika kuwa atanipa za uso tena KO kali sana ila nikasema ikiwa hivyo itanipa maamivu ya kukataliwa .Kweli akanipa KO mbaya sana nikaanza rasmi kujijali mwenyewe confidence ikaongezeka na baada ya muda kuona mambo yangu yamenyooka wakawa wanajirahisisha ila kila nikukumbuka mwenzao alichonifanyia nasema Yes ngoja niwajaze niwape KO na mimi nilipize kisasi sitaki tena upuuzi sasa nafocous kwenye life na future yangu mpk sasa haina kufeli sina mzuka wala para nafanya mambo yangu kwa umakini na utulivu.
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app