MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,290
- 2,361
69 days.
70 days.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
69 days.
Uko kwenye ligi yako mkuu , hongera70 days.
Uko kwenye ligi yako mkuu , hongera
4540 days
Tukaze jamaa angu,hapa unashindana na ulimwengu wa rohoTangu nimejiunga nahis kuumia aisee hii App ni nzur lakn ni hatar aisee
Safi sana[emoji119]hongera
Aisee hii challenge mi binafsi inanifaa sanakabisa
Karibuni tulisongesheAisee hii challenge mi binafsi inanifaa sana
70 days.
Nawasubiri na wengine mje mlie mlie hapa!Huyo ni izo biz wakala wa shetani
Jana nimeshitua punyeto[emoji22]
Nikupe pole tuWasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.
NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.
Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.
Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.
Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,
Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.
If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.
View attachment 2259037
Kwa mwanaume wa 40-50 akipiga Moja akalala nisawa Nofab. Mana wakimaliza Moja hoiKutoka zenyewe sio shida.... shida ni kuzitoa wewe kwa kuamua maana huwezi piga bao tatu kwa ndoto nyevu pekee ila ukiwa juu ya kiuno cha demu hapo zinapigwa hata bao nne na zaidi kitu ambacho sio kizuri kwa afya ya mwanaume hata kidogo.
Karibu sanaNgoja na mimi niache uspartacus. Niko siku ya kwanza naenda ya pili wakuu