Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc /Mpwayungu VillageUtashangaa zaidi ukipiga simu ukaambiwa nafasi zimejaa
Kwani hao walimu wenzio wanalipwa tofauti hadi udoee kwao?Hiyo hela utakuwa unadowea kwa walimu wenzio chakula
Usitutafutie ban, Magufuli anahusikaje hapa?Magufuli ndiye sababu ya yote haya.
Uhaba wa ajira Tanzania ulipaswa utokee miaka 20 mbele sio sasa.
Jamaa alipozichakaza sekta binafsi kuanzia 2016 ndipo ajira ikaanza kupiga chenga nchini.
Mimi nimeajiriwa 2015 , nafasi zilikuwa 16 , kwenye usaili tuliitwa 20 tu na tuliohudhuria tulikuwa 5 tu.
Weka tangazo sasa hivi la ajira ya serikali hata kama ni kuzibua choo utaona ummati wa watu
Hii comment imenuhuzunisha sana, uzi ufungwe hili jibu la kufungia mwaka.Utashangaa zaidi ukipiga simu ukaambiwa nafasi zimejaa
Cc Lucas Mwashambwa mama anatosha.Hivi laki moja hata uwe kijijini unatoboaje kwa mwezi?View attachment 3168118
Magufuli anahusika hapa kwa 100%Usitutafutie ban, Magufuli anahusikaje hapa?
Hakuna Hela hapo ni kusumbuana tu na inaweza ikawa ni utani wa ngumiKwa asie na kazi hiyo ni nyingi mno.
Maisha yako tofauti sana miongoni mwa wanajamii, trust me.Hii comment imenuhuzunisha sana, uzi ufungwe hili jibu la kufungia mwaka.