Nimeona sehemu tangazo la ualimu sekondari, mshahara laki moja nimetokwa na machozi

Nimeona sehemu tangazo la ualimu sekondari, mshahara laki moja nimetokwa na machozi

Laki moja unatoboa mzee maisha sio lele mama, ukiona haitoshi jua upo pazuri zaidi ila kuna vijana wanazungusha bahasha kutafuta sehemu ya kujitolea bure na hawaipati
 
Magufuli ndiye sababu ya yote haya.
Uhaba wa ajira Tanzania ulipaswa utokee miaka 20 mbele sio sasa.
Jamaa alipozichakaza sekta binafsi kuanzia 2016 ndipo ajira ikaanza kupiga chenga nchini.
Mimi nimeajiriwa 2015 , nafasi zilikuwa 16 , kwenye usaili tuliitwa 20 tu na tuliohudhuria tulikuwa 5 tu.
Weka tangazo sasa hivi la ajira ya serikali hata kama ni kuzibua choo utaona ummati wa watu
Usitutafutie ban, Magufuli anahusikaje hapa?
 
Usitutafutie ban, Magufuli anahusikaje hapa?
Magufuli anahusika hapa kwa 100%
Why?
Kwasababu mada hii imetokana na tangazo la ajira ambalo lipo kama dhihaka fulani.
Kabla ya utawala wa Magufuli walimu private school walikuwa wakilipwa mshahara mkubwa kuliko walimu wa serikalini ili kuwavutia. Lakini tangu jiwe aingie madarakani walimu wapo kama mbu mtaani, kila siku wanapigana vikumbo private schools kuomba ajira na internship
 
kama wanakupa chakula na pango bule hizo ni nyingi sana kwa jobles kutoboa kwa mtu niakili tu na maarifa
 
Kuna shirika moja nalijua nje ndani nao wanalipa kiasi hichi hichi na walimu wanagombania nafasi kuingia kwenye shirika lile
 
Back
Top Bottom