Nimeona tofauti ya mke na mchepuko. Nimesikitika sana

Huyo mwanamke hakupendi na sio loyal kwako, yuko kwako kwa sababu nyingine anazozijua mwenyewe.
 
Ukiwa na akili ndogo lazima tu hisia za mapenzi zikupeperushe. Usipoenda kwa huyo mchepuko ukafanya uchafu wako utakufa? Nenda tu maana unafanya juu ya mwili wako jmna sio mkeo
Usiwe na hamaki bali tafakari, ukiachia mbali mchepuko, huyo mwanamke hampendi huyo Jamaa na hayuko loyal kwa Jamaa, bali yuko hapo kwa sababu anazozijua mwenye, ndio maana anaweza kuwa na feeling kwa mtu ambaye huenda hajawahi kumwona karibu na kuacha kufikiria mtu muhimu sana ktk maisha yake na yuko karibu naye.
 
Ndugu upo kama mimi kasoro hapo kwenye mchepuko. Binafsi sina mchepuko.
Mimi hupenda kufarijika wakati wa huzuni kwa kula mbususu.
Ilinitokea nilipata msiba wa nduu3wa karibu kwenye kunifariji nikala mbususu nadhani akajua kuwa napenda game ili kupata confidence kwenye huzuni.

Siku nyingine akapata yeye msiba mkubwa. Nilikuwa namuona hata huko kwao msibani akihangaika kutafuta namna ya kunitunuku lakini tulikwama.

Siku tumerejea kutoka msibani, tulikulana mara tu baada ya kuingia mlangoni.
Ananiambia 'nilikutesa sana mume wangu'.

Sasa usiku wa kuamkia leo, amelia sana kusikia JPM katwaliwa. Nimefanya kazi ya kubembeleza utafikiri ni msiba wa familia.
Nikajua nitapewa mbususu bana weeee.....sikupewa na asubuhi kajiweka busy mpaka anaenda kazini huyoooo.

Nikajua ni kwa sababu sikuonyesha huzuni kuhusu huu msiba so amehisi sijahuzunika na kwahiyo sitohitaji mbususu.
Baada ya kupata taarifa za msiba niliwasha luninga na nikawa busy kumbembeleza huku naperuzi mitandaoni kupata habari mbalimbali juu ya huu msiba.
Nadhani aliona nimejikita zaidi kwenye habari na hivyo sina huzuni.

Kumbe this time nimehuzunika kimyakimya.
Imeniuma sana kuikos mbususu ya wife leo.
 
Nikawa nakula huku nabubujikwa na machozi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa alikua anapiga uku analia kimoyo moyo Hiiii hihiiiiiiiiii hihiiiiiiiiiiii binamu yangu kaniacha na machozi yanatoka live [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kiukweli nilipanga tangu juzi nile tunda leo lakini naona kabisa ntashindwa. Hali haiko sawa kabisa kwa upande wangu nikiwa na huzuni hasa inayosabibishwa na kifo kuna baadhi ya mambo huwa siwezi kufanya.
 
Mnajua huu ni msiba wa kitaifa? Haya mambo ya ngono embu punguzeni kidogo.
 
Ukiwa na akili ndogo lazima tu hisia za mapenzi zikupeperushe. Usipoenda kwa huyo mchepuko ukafanya uchafu wako utakufa? Nenda tu maana unafanya juu ya mwili wako jmna sio mkeo
Yani acha tu, kutenda dhambi imekuwa fashion siku hizi.
I feel so pity.
 
Akanipa nkawa nakula huku nabubujikwa na machozi for my cousin [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]....wallah nimecheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…