Nimeona video ya Mose Radio nikakumbuka Interview yangu

kaua bila kukusudia

anaeza kujitetea alitukanwa akashndwa zuia hasira zake na ushahidi upo
sema ki tz tz jela haepuki sasa sijui huko kwao itakuaje
Ndo umnyanyue MTU kama mpo kwenye wwe.?
sio fair kabisa.
 
Ebana eeh...nouma sana. Ukorofi sio kabisa...watu wanasahau baunsa kukaa mlangoni kulinda watu wanakula bata...wanafanya kujitafutia riziki...so hata wao wangependa kula bata zito....sasa ukimkwaza unakuwa unatonesha mengi. Anyway, we should learn and behave accordingly...respect ni muhimu sana.
 
Ila mlinzi inabidi uwe na kujielewa kwakua unakua haujalewa, unaweza kuprocess situation kwa ufasaha kuliko mteja ambaye kashalewa na anafanya nusu na robo ya vitu kwa ajili ya kuwaimpress wenzie.
 
Sijui hao waliokuwa wana shabikia sasa wanajisikiaje? Alimnyanyua kama mtoto wake, inaumiza!
 
Ila mlinzi inabidi uwe na kujielewa kwakua unakua haujalewa, unaweza kuprocess situation kwa ufasaha kuliko mteja ambaye kashalewa na anafanya nusu na robo ya vitu kwa ajili ya kuwaimpress wenzie.
Sawa mkuu...but kumbuka watu tumetofautiana uchukuliaji wa mambo....+ ugomvi ni historia ya mshkaji.....so inakuwa kama...now this is too much "ngoja tumuoneshe".
 
baunsa alikuwa ana uwezo wa kumtoa tu nje ukizingatia jamaa alikuwa kanywa pombe na sio maji.
 
Sawa mkuu...but kumbuka watu tumetofautiana uchukuliaji wa mambo....+ ugomvi ni historia ya mshkaji.....so inakuwa kama...now this is too much "ngoja tumuoneshe".
Hilo nalo ni kweli pengine jamaa aliona hivyo. Ila ndiyo haiwezi kua utetezi wake kama akifikishwa mahakamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…