Nimeongea na matapeli kadhaa politely majibu waliyonipa nimehitimisha kuwa kadri elimu inavyokua upumbavu nao unakua kwa kasi

Nimeongea na matapeli kadhaa politely majibu waliyonipa nimehitimisha kuwa kadri elimu inavyokua upumbavu nao unakua kwa kasi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Mitandao yote ya kijamii matapeli wamejaa ila Facebook kwasababu ina watumiaji wengi kuliko mitandao mingine huko ndiko kuna matapeli concord.

Shemeji yangu mhitimu wa chuo cha kilimo kaliwa na mjemba mmoja aliyejifanya mwajiri. Kampanga wakutane Iringa amwajiri akamzungusha kuwa yuko mbali mpaka giza linaingia akajifanya anamlipia lodge akamla na ajira hajampa.

Binti mwingine aliliwa na tapeli aliyejifanya kumkabidhi nyumba aliyomnunulia . Kampa funguo kabisa kamla na nyumba hajapewa wala kuiona.

Nancy Moshi kavuma kidogo tu matapeli zaidi ya 20 wameibuka wanajilia pesa za wapumbavu kirahisi. Eti wanatoa ajira za ukondakta wa mabasi.

MO Dewji kupitia jina lake katengeneza matapeli zaidi ya 20.
Tulia Ackson
Samia
Nandy Supermarket
Kajala
Shishi baby
Freemasons
JWTZ
JKT
UNICEF
UNDP
Eti mzungu anakuomba urafiki leo kesho anakutumia laptops za mamilioni na ndani ya parcel kajaza midola. Kijana akili zinamruka anajikuta kapigwa laki moja ya kutumia mzigo uliopotea njia.

Hapa sijawaweka wale wa kukutumia video chafu ambazo wanapakua lakini wajinga wanaambiwa ni zao, ni vijana wa kiume but wanajifanya mabinti. Wanapata pesa nyingi sana, per day anapata mpaka laki 5 siku biashara ikikaa vizuri.

Nilipowahoji wanasema wanapiga pesa nzuri tu, wanadrive, wanajenga n.k

Na wateja wao wakubwa ni wasomi.

Hii maana yake ni kwamba vijana wengi kadri wanavyosonga mbele kielimu ndipo ujinga huwasogelea zaidi.
 
Mitandao yote ya kijamii matapeli wamejaa ila Facebook kwasababu ina watumiaji wengi kuliko mitandao mingine huko ndiko kuna matapeli concord.

Shemeji yangu mhitimu wa chuo cha kilimo kaliwa na mjemba mmoja aliyejifanya mwajiri. Kampanga wakutane Iringa amwajiri akamzungusha kuwa yuko mbali mpaka giza linaingia akajifanya anamlipia lodge akamla na ajira hajampa.

Binti mwingine aliliwa na tapeli aliyejifanya kumkabidhi nyumba aliyomnunulia . Kampa funguo kabisa kamla na nyumba hajapewa wala kuiona.

Nancy Moshi kavuma kidogo tu matapeli zaidi ya 20 wameibuka wanajilia pesa za wapumbavu kirahisi. Eti anatoa ajira za ukondakta wa mabasi.

MO Dewji kupitia jina lake kutengeneza matapeli zaidi ya 20.
Tulia Ackson
Samia
Nandy Supermarket
Kajala
Shishi baby
Freemasons
JWTZ
JKT
UNICEF
UNDP

Hapa sijawaweka wale wa kukutumia video chafu ambazo wanapakua lakini wajinga wanaambiwa ni zao.

Kwenye uchumba

Nilipowahoji wanasema wanapiga pesa nzuri tu, wanadrive, wanajenga n.k

Na wateja wao wakubwa ni wasomi.

Hii maana yake ni kwamba vijana wengi kadri wanavyosonga mbele kielimu ndipo ujinga huwasogelea zaidi.
1726556602377.png

juzi juzi kuna kagraduate kabinti kamenitumia tangazo hili kuwa kamelitoa kwa group kazi kanataka aktume barua. Kumbuka kana bachelor yake. Nilipoisoma tu, nikamwambia ina maana wewe huoni kuwa hapa hakuna kazi ila ni utapeli. Nikakambia hapa utaliwa au kutapeliwa pesa hakuna kazi hapa kuanzia maelezo yenyewe na vitu vilivyomo haviadd up.
Sijui kalinielewa au la!
 
View attachment 3098142
juzi juzi kuna kagraduate kabinti kamenitumia tangazo hili kuwa kamelitoa kwa group kazi kanataka aktume barua. Kumbuka kana bachelor yake. Nilipoisoma tu, nikamwambia ina maana wewe huoni kuwa hapa hakuna kasi ila ni utapeli. Nikakambia hapa utaliwa au kutapeli pesa hakuna kazi hapa kuanzia barua yenyewe na vitu vilivyomo haviadd up.
Sijui kalinielewa au la!
huyo binti ni wa kuchapa
 
Wapumbavu ndio wanaopigwa katika hayo uliyoorodhesha, ila mpumbavu zaidi ni huyo wakwenda Iringa kuliwa uroda, unaanzaje yani?

Mimi mtu mwenye uwezo wa kunitapeli ni ndugu yangu au rafiki yangu tu, atanitapeli kwa sababu ya kumwamini na si mtu mwingine yoyote.
Kuna visa vingine ukiambiwa, unaona kabisa huu ni upumbavu uliotukuka,
 
Kingine kinachosababisha wasomi wanakuwa wajinga ni kumaliza shule na umri mdogo
Kwahiyo unataka wamalize shule uzeeni? Kwani umri wa kuanza darasa la kwanza ni miaka mingapi?

Ujinga ni mwingi siku hizi, nina mtoto form six kureport shuleni bado anapelekwa na mama yake, mimi form shuleni nilikwrnda kureport mwenyewe tena miaka hiyo ya S.l.p mpo assembly waliotumiwa barua wanaitwa kuchukuwa barua zao wewe huna wa kukutumia barua.
 
Kwahiyo unataka wamalize shule uzeeni? Kwani umri wa kuanza darasa la kwanza ni miaka mingapi?

Ujinga ni mwingi siku hizi, nina mtoto form six kureport shuleni bado anapelekwa na mama yake, mimi form shuleni nilikwrnda kureport mwenyewe tena miaka hiyo ya S.l.p mpo assembly waliotumiwa barua wanaitwa kuchukuwa barua zao wewe huna wa kukutumia barua.
Mtoto anamaliza chuo ana miaka 18, 19 hamna kitu anachojua zaidi ya ujinga na utoto.
Atleast mtu amalize chuo na 22 to 23.

Sasa huoni wewe ndo majanga umeshindwa kumlea mtoto wako alafu unajisifu ujinga, ficha ujinga wako unashindwa kulea mtoto alafu bado unasema nina mtoto form six anapelekwa na mama yake? seriously
 
Back
Top Bottom